Kwa namna Mwigulu na CCM walivyo wasanii huyo Nyoka huenda walikuja nae, kuna mtu kapewa kazi ya kuja na Nyoka asiye na Madhara mkutanoni na Kumfungulia
Wenzetu hawa kwao kila Kitu MAIGIZO
https://www.jamiiforums.com/threads/jambazi-sugu-banjoo-larudi-uraiani.521726/
Unataka watetee Majambazi ?
Tena yasemekana huyu Marehemu alikuwa Kada wa Mboga Mboga
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.