Recent content by Bramo

  1. Bramo

    Nyoka aibuka ghafla kwenye mkutano wa Waziri Mkuu wakati mama mmoja akieleza namna binti yake alivyouwawa huko Sumbawanga

    Kwa namna Mwigulu na CCM walivyo wasanii huyo Nyoka huenda walikuja nae, kuna mtu kapewa kazi ya kuja na Nyoka asiye na Madhara mkutanoni na Kumfungulia Wenzetu hawa kwao kila Kitu MAIGIZO
  2. Bramo

    LHRC yalaani tukio la Mfanyabiashara Banjoo wa Arusha kutekwa na kuuawa

    https://www.jamiiforums.com/threads/jambazi-sugu-banjoo-larudi-uraiani.521726/ Unataka watetee Majambazi ? Tena yasemekana huyu Marehemu alikuwa Kada wa Mboga Mboga
  3. Bramo

    PreGE2025 Mbunge Munde: Watakaosimamia Uchaguzi sio Wakurugenzi. Rais Samia amefanya 'Reforms' za kutosha kuelekea Uchaguzi

    Mungu tunashukuru japo kwa hiki kidogo Kuna siku utatupatia Kikubwa tunaamini. Na sote tuseme TAWIRE
  4. Bramo

    Can God create something more powerfull than him?

    Chawa wa KIKE tutakupiga Spana pande zote na tutageuza
  5. Bramo

    Tetesi: Mtekaji wa Sativa inadaiwa yuko chini ya ulinzi

    Mkuu Ponjoro wa Kinondoni unaitwa huku
  6. Bramo

    Tetesi: Mtekaji wa Sativa inadaiwa yuko chini ya ulinzi

    Mkuu Ponjoro wa Kinondoni Hawa JW wana huo uwezo kweli ?
Back
Top Bottom