Ndio ujue ni bora tuwe ndani ya ukoloni huenda tukafanikiwa kwa huduma za kijamii na misaada ya kiubinadamu. Hapa tupo kwenye kifungo kusichoisha japo tumepata Uhuru wa bendera. Serikali yetu ni mzigo kabisaaaa
Nachowaonea huruma na kutojielewa hao police ni kitendo cha kutumwa na pasipo kuhoji. Wakiambiwa tu piga wanapiga, wakiambiwa piga mabomu sasa hata kama wananchi wanadai haki zao za msingi ambazo zikipatika nao pia watanufaika. Yaan wao wapo wapo tu hawajitambui kabisa
Akheri ya kufa kuliko kufariki.. Huyo mtulia hajitambui kiakiri, kifkra na kiroho. Na yeyote atakayempigia mtulia kura huyo amelaaniwa na yeye pia atakuwa hajitambui kifikra na kimawazo kwa kumchagua punguani kama huyo. Doesn't make sense to make your vote for stupid guy like this.
Wamelelewa vibaya sana hao Wakurya na hata ivyo tumezidi kuwasifu kwa upumbavu na ukatili wanaoufanya. Sasa madhara yake ndio hayo ya mauaji yasiotarajiwa. Naomba waende Tanga wakafundishwe jins ya kumhandle mwanamke.
Kiongozi nimeyajua mengi sana kupitia mada hii. Ukweli unajionyesha tena sana tu na hao wanaobeza ni miongoni mwa makundi na wafuasi wa ndio mzee. Lakin Dr Slaa kapoteza muelekeo wa maisha. Achana na wanaobishana na ukweli kuufanya uwe uongo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.