Mkuu Nyani Ngabu heshima kwako.
Leo umeleta hoja ya msingi sana.
Popote duniani polisi hutoa updates hata ya asilimia kadhaa ya uchunguzi kila stage.
Shangaa Tanzania tunaambiwa vyombo vya usalama vinachunguza na vitatoa majibu itakabobidi. Sasa je unajiuliza ni lini?!
Wao watasema tuviachie vyombo vya dola.
Ni kweli tumeviachia sasa mpaka lini?
Wanasisitiza yeyote mwenye taarifa za kuwasaidia awapelekee maana wana nia njema.
Unajiuliza kwani hiyo nia njema ni lazima kuisema sema!?..
Anyway acha tu wajifanyie wanavyotaka.
Maana lile la Ben Sanane lina mwaka na miezi mitatu sasa na lenyewe bado wanachunguza.
Hawajui kama kafa au yu hai.
Hao ndo PT. POLICE TANZANIA
Cc:
Nyani Ngabu