Je, kuna uhusiano kati ya IQ ya mtu na kabila lake, umasikini wake au kimo chake?

Wanabodi,

Usingizi umekata kutokana na mawazo ya huku kukaza kwa vyuma!, mtu unalala hujui kesho siku itaanza vipi, ukiwa totally empty!. Hivyo faraja yangu pekee ni JF. Nimesoma uzi fulani, nikaanza kuwaza na kujiuliza maswali huku mengine nikijijibu mwenyewe.

Huu ni uzi wa swali kuhusu I.Q za baadhi ya wanasiasa wetu wanaotuhumiwa kuwa na low I.Q, wakiwemo mawaziri, wabunge na wakuu wa mikoa, na vigogo wengine wengi, hivyo nikajiuliza kwanza jee ni kweli hawa wanaotuhumiwa kuwa na low I.Q, jee ni kweli wana low I.Q, au ni mtu tuu ametoa mawazo tofauti, wewe huyapendi, ndio unamtukana ana low I.Q?.

Ndipo nikaanza kujiuliza, jee kuna uwezekano watu wenye I.Q ndogo ni kutokana na makabila yao, kiwango chao umasikini kwenye makuzi, au pia heights zao have something to do with low I.Q, yaani mtu akiwa mfupi, anakuwa na akili fupi?.

Naomba kukiri zaidi ya kukosa usingizi, nimekuwa inspired na motivated kupandisha bandiko hili kutokana na hoja za mwana jf huyu, jidu-la-mabambasi, katika bandiko lake hili
Juma Nkamia ana tatizo la msingi!

Mkuu Jidu, kwa vile mimi nimefanya kazi na Mhe. Juma Mkamia alipojoin RTD, hivyo naomba nisicomment kuhusu I.Q yake, ila generally kuna uhusiano mkubwa kati ya kiwango cha I.Q na object poverty. Maeneo yenye umasikini uliotopea, I.Q za wengi ziko low!.

Angalia level ya umasikini ukanda wa Pwani, including Zanzibar, mikoa ya Singida, Dodoma, Lindi na Mtwara, au makabila yenye umasikini uliotopea kama Wagogo, Warangi, Wanyaturu, Wabarbaig, Wasandawe, Wataturu, Wahadzabe, Wazaramo, Wandengereko etc, linganisha na mikoa yanye neema, Kilimanjaro, Bukoba, Mbeya, Iringa, Mwanza, etc, angalia I.Q za Wachagga, Wahaya, Wanyakyusa etc, bila kusahau the royal tribe, Wasukuma, watu wanaokula vizuri, wanakuwa na I.Q kubwa. Makabila ya mlo mmoja, wanakuwa na low I.Q!.

Data zangu ni kwa mujibu wa random sampling ya matokeo ya mitihani ya kidato cha 4!. Hili hata Mwalimu Nyerere aliliona, hivyo hadi leo, japo Tanzania nzima wanafanya mtihani mmoja wa darasa la saba lakini cut off points za kufaulu ni tofauti mikoa na mikoa ili Watanzania wote wapate fursa za kuendelea kielimu. Tungetumia uniform cut off points, shule zote za sekondari zingejaa Wachagga, Wahaya na Wanyakysa na kuna makabila wasingegusa secondari!.

Mwalimu Nyerere aliwahi kuwasomesha kwa nguvu watoto 4 wa kabila la Wahadzabe, wote walifeli darasa la saba, lakini akalazimisha waende sekondari kwa lazima. Wakasomea pale Pugu, na wote wanne walipata Divisheni Zero!.

Niliwahi kuuliza swali hili, sikupata jibu
Inawezekana Vipi Zanzibar Hakuna Div I, Div II, wala Div III , Wao ni Div IV na Div Zero Tuu?!.

Ila pia kuna uhusiano kati ya heigh ya mtu na akili zake, mtu akiwa mfupi, anakuwa na akili fupi!' Anza kuwa observe heights za waropokaji bungeni, utaniambia!'
Hili la watu wafupi, nililizungumza hapa, wanafanya vitu vya ajabu kutafuta recognition ili ku compensate inferiority complex yao inayosababishwa na height!.

Je, kuna ukweli watu wafupi wana inferiority complex hivyo kukasirika sana wanapohisi kudharauliwa?

Hili la poverty level na low I.Q lina athari kubwa kisiasa, angalia levels za umasikini kwenye maeneo watu waliochagua upinzani, ulinganishe na ngome za CCM, utakuta kwenye umasikini uliotopea ndizo ngome za CCM, na kule kwenye ehueni, ndio wamewachagua wapinzani, angalia Kilimanjaro, Bukoba, Arusha, Tanga, Iringa, Mbeya etc, mkoa kama Dodoma hauwezi kuchagua upinzani, they are just too poor to understand wanachagua nini!. Hata Singida, Lissu is an exceptional case. Hivyo hii situation ya I.Q level ina effects kwenye siasa zetu, hivyo kuendelea kushinda kwa CCM, has something to do with this na nilisema hapa
Watanzania ni ignorants au tumelogwa? October 25, tutafanya informed decision au tutachagua tuu?

Mtazamo: Kanda ya Kaskazini, CCM imechokwa mpaka basi!

Ikitokea CCM ishinde, Je ushindi huo ni kutokana kuwekeza kwenye Maendeleo au kwenye Ignorance?

Kuichagua tena CCM, Je ni kielelezo cha kufanya informed decision, au ni Ignorance?

Hoja zote hizo zinauhusiano na I.Q, na kitu cha ajabu kabisa, kwa kadri vyuma vinavyobana, ndivyo CCM inavyoimarika, mtashuhudia 2020, karibu majimbo yote ya upinzani kama sio yote kabisa huku bara, yatairejesha CCM, upinzani utaanza tena 2025 baada ya rais Magufuli kuipeleka Tanzania kwenye uchumi wa kati, na kuumaliza umasikini.

NB. Kwenye every general rules, there is always exceptional to the case, hivyo hivyo kuna watu wa makabila masikini wenye high I.Q, na kuna watu wafupi wenye akili ndefu na kuna mijitu mibonge yenye akili fupi and vice versa!.

Paskali
Rejea
Kuwa Kichaa Sio Mpaka Kuokota Makopo!. Jee Tanzania Tuna Vichaa Wengi Kuliko Tunavyojidhania?!.
------------

Mdau field marshall1 amepanua wigo wa mjadala huu. Unaweza kusoma hoja zake na kushiriki mjadala >> Tatizo la ufukara kwa baadhi ya makabila ni mfumo wa maisha (Lifestyles)
Tukiongelea umasikini wa Kanda na mikoa mleta mada aliyooridhesha hapa tuanzie na historia ya Tanzania na influence ya wakoloni.

Mikoa ya Bukoba, Kilimanjaro, Tanga, Mbeya ni mikoa iliiyobahatika kupata shule za kwanza baada ya wazungu kuleta elimu. Hata Zanzibar.

Tofauti kubwa hapa ni kuwa Zanzibar na Tanga ilimezwa na utamaduni wa ki Arabu kabla ya uzungu.

Pamoja na kuwa shule zilikuwepo lakini wazazi wengi walipata wakati mgumu kuchagua kati ya elimu dunia na elimu akhera.

Kwa dhana ya dini Tanga wamegawanyika sana. Unakuta ukoo mmoja wale walioamua kwenda katika shule za wamissionary walibadili dini.

Utamaduni waawaarabu kwa wakati ule ulikuwa ni biashara na biashara zao nyingi ilikuwa utumwa na kilimo cha minazi. Minazi ikitunzwa vizuri hukaa kwa miaka 50-100. Hivyo ili fanya wazee wapumzike.

Hata hivyo ninaamini mikoa ya Pwani imetoa wazee wengi wakiokuwa na mchango mkubwa katika taifa.
Ni vizuri kujiuliza kama binadamu. Uko sahihi. Hakuna uhusiano wa moja kwa moja kati ya IQ na kabila. Ila kuna uhusiano wa moja kwa moja kati ya IQ na makuzi/malezi na pia vinasaba kwa maana ya lishe na mambo mengine yanayozunguka. Lishe ni muhimu sana! Kuna watu wanahusisha umaskini, lakini nadhani ni pale umaskini unapoutafsiri kwa maana ya mjini. Yaani kuwa na gari, nyumba kubwa, nk. Hiyo hapana.

Angalia wale jamaa wa kale ka-kisiwa ka ziwa victoria Ukerewe (Siyo dhambi kuwataja, tuvumiliane) wanavyojulikana kwa IQ kubwa, lakini siyo matajili. IQ yao inachangiwa na lishe! Samaki kwa wiiingi, ugali kidogo. Kwa mwanakijiji wa kisiwani kula samaki siyo utajili! Ni sehemu ya maisha yake. Hapo sasa ndo kabila linaingia maana ukiwa kabila lako liko maeneo ambao mulo ni tatizo, jamii nzima hujikuta kichwani ni patupu!

Kuna makabila yanaonyesha kitu kama IQ kumbe siyo! Kwa sababu tu ya kuweza kuingia mashuleni kwa uwezo wa kifedha, wamejikuta sehemu muhimu, ila kiukweli siyo IQ, ni shida! Tutofautishe IQ na shule.
 
Naandika nikiwa usingizini baada ya kusoma uchambuzi wenye hoja nyepesi na harufu ya trumph nilizoziona usingizini.

Sitaki kujadili IQs ingawa nitazitaja kwa uchache. Napenda nitoe mchango wa hili jinamizi nililoliona na mchambuzi wetu maarufu. ni jinamizi lenye chembe chembe za ubaguzi wenye chuki.

Si Mara ya kwanza kwa wana-jf kupoteza muda kwa kutaka kuaminisha jamii upofu huu.

kwanza walisema teuzi za viongozi hutokana na elimu, weledi, uadilifu. Matokeo ya ubaguzi huu ni kuwa tabaka moja ndani ya nchi limeshika hatamu ya uongozi. Kwa maana jamii imeaminishwa kuwa kuna jamii hadi awamu hii ya 5 idadi yao wenye elimu, weledi nanuadilifu hawazidi 10 ukilinganisha nafasi 50 za uuteuzi zilizopo kwa idara ndani ya nchi hii.
Tofauti na nchi ndogo kama Rwanda ambayo kwayo ni mfano WA kuigwa. Nchi kama Rwanda pamoja na kuangalia elimi, weledi, uaminifu na uadilifu lkn wameongeza na makundi tambuzi, hii ni baada ya ngojera kama hizi za miaka mingi jamii kuzichoka na matokeo yake ni kuzuka kwa vurugu zilizoleta maafa makubwa. Na baada ya vurugu zile na sasa wanaheshimiana ingawa ubaguzi na chuki ipo kwa uchache lkn haitungiwi ngonjera kama hizi.

2. Sasa ngonjera mpya zinawalenga wale wale kuwa baadhi ya maeneo hawana IQ kubwa hivyo hawapaswi kuchaguliwa wala kuteuliwa unless wale wateuzi wawe na IQ ndogo kama wateuliwa.


3. Pamoja kuongozwa kwa 90% na wenye IQ kubwa bali nchi kama nchi imebaki kuwa tatu bora kwa umasikini duniani.

Kwanini?

Watanzania hatuna elimu hiyo itakayo tufanya tubagu kwa misingi yyt. Rejea mkuu WA mkoa aliyekuwa na doctorate lkn siku ulipotenguliwa uteuzi wake alilia kama mtoto eti hajui atafanya nini pamoja na kuwa na cheti vikubwa na vilivyopendeza.

Nirejee tu fact mojawapo niliyoiona kwenye kukwaa hili letu la taifa jf.

Maneno yaliyoandikwa kwenye geti la kuingia Chuo Kikuu cha Cape Town, yana funzo kubwa!

Kwenye geti la chuo kikuu cha Cape Town nchini Afrika kusini kuna maandishi yasemayo
  1. "Ukitaka kuangamiza taifa lolote duniani huhitaji kutumia silaha za nyuklia wala mabomu ya atomic. Njia nzuri ya kuangamiza taifa ni kuharibu mfumo wa elimu. Ruhusu "mbumbumbu" waonekane wamefaulu na wasonge mbele. Matokeo yake yatajionesha baada ya muda, "mbumbumbu" hao wakishahitimu. Wagonjwa watafia mikononi mwa madaktari, majengo yataanguka mikononi mwa wahandisi, pesa zitapotelea mikononi mwa wachumi, utu utapotea mikononi mwa viongozi wa dini, na haki itapotelea mikononi mwa mahakimu. Kalamu za waandishi nazo zitachongasha. Kuchezea elimu ni kuangamiza taifa.


  2. Kama tunataka kulinganisha IQ kwann tusitumie kichina, kiarabu au kihindi kwa wale waliosoma masomo na kuhitimu kwa lugha hizo na matokeo yake unataka kuona mwenye iq ni yule anaejua kiingereza.


Pitia tena hapa tuone orodha ndefu then compare and contrasts.
24 Politician and Celebrity IQs That Will Leave You Shocked | HyperActivz

Tuache chuki hazijenge nchi
 
The culprit is the original poster (OP). The central argument of this thread is solely based on prejudices and stereotypes, rather than facts and figures.

That's what I have seen in thread so far. Since the beggining I have tried to ask the average IQ score of each tribe or region in question, nobody seems to have. So how are they going to make a convincing argument is they don't have data?
 
Hakuna facts zozote kwenye upimaji wa IQ, is Just a political measurement but not scientific measurement.

Whether is a political or scientific measurement, it doesn't really matter. What matters most is the correct use of the measurement. I am a grown up man and if you correctly say and show me that I have low IQ, I will take it.

However, it very disturbing when somebody tries to make an argument when he doesn't apply the fact.
 
Soma zaidi: The connection between race and intelligence has been a subject of debate in both popular science and academic research since the inception of IQ testing in the early 20th century. While tests have broadly shown differences in average scores based on self-identified race or ethnicity, there is considerable debate as to whether and to what extent those differences reflect environmental factors as opposed to genetic ones, as well as to the definitions of what "race" and "intelligence" are, and whether they can be objectively defined at all. Currently, there is no non-circumstantial evidence that these differences in test scores have a genetic component, although some researchers believe that the existing circumstantial evidence makes it at least plausible that hard evidence for a genetic component will eventually be found.

The first test showing differences in IQ test results between different population groups in the US was the tests of United States Army recruits in World War I. In the 1920s groups of eugenics lobbyists argued that this demonstrated that African-Americans and certain immigrant groups were of inferior intellect to Anglo-Saxon whites due to innate biological differences, using this as an argument for policies of racial segregation. Soon, other studies appeared, contesting these conclusions and arguing instead that the Army tests had not adequately controlled for the environmental factors such as socio-economic and educational inequality between African-Americans and Whites.

The debate reemerged again in 1969, when Arthur Jensen championed the view that for genetic reasons Africans were less intelligent than whites and that compensatory education for African-American children was therefore doomed to be ineffective. In 1994, the book The Bell Curve argued that social inequality in the United States could largely be explained as a result of IQ differences between races and individuals rather than being their cause, and rekindled the public and scholarly debate with renewed force. During the debates following the book's publication, the American Anthropological Association and the American Psychological Association (APA) published official statements regarding the issue, both highly skeptical of some of the book's claims, although the APA report called for more empirical research on the issue.

Soma zaidi: Race and intelligence - Wikipedia
 
Nikisoma mwanzo, katikati na mwisho, sio connection ya mada tajwa, pia unauliza swali au unataka utufundishe? Na mambo ya magufuli kushinda sijui upinzani, me sijakuelewa au ndo IQ yangu ndogo! Maana ww ni mwandishi maarufu lkn unaandikaga utumbo, Ninamashaka na IQ yako pia
Wanabodi,

Usingizi umekata kutokana na mawazo ya huku kukaza kwa vyuma!, mtu unalala hujui kesho siku itaanza vipi, ukiwa totally empty!. Hivyo faraja yangu pekee ni JF. Nimesoma uzi fulani, nikaanza kuwaza na kujiuliza maswali huku mengine nikijijibu mwenyewe.

Huu ni uzi wa swali kuhusu I.Q za baadhi ya wanasiasa wetu wanaotuhumiwa kuwa na low I.Q, wakiwemo mawaziri, wabunge na wakuu wa mikoa, na vigogo wengine wengi, hivyo nikajiuliza kwanza jee ni kweli hawa wanaotuhumiwa kuwa na low I.Q, jee ni kweli wana low I.Q, au ni mtu tuu ametoa mawazo tofauti, wewe huyapendi, ndio unamtukana ana low I.Q?.

Ndipo nikaanza kujiuliza, jee kuna uwezekano watu wenye I.Q ndogo ni kutokana na makabila yao, kiwango chao umasikini kwenye makuzi, au pia heights zao have something to do with low I.Q, yaani mtu akiwa mfupi, anakuwa na akili fupi?.

Naomba kukiri zaidi ya kukosa usingizi, nimekuwa inspired na motivated kupandisha bandiko hili kutokana na hoja za mwana jf huyu, jidu-la-mabambasi, katika bandiko lake hili
Juma Nkamia ana tatizo la msingi!

Mkuu Jidu, kwa vile mimi nimefanya kazi na Mhe. Juma Mkamia alipojoin RTD, hivyo naomba nisicomment kuhusu I.Q yake, ila generally kuna uhusiano mkubwa kati ya kiwango cha I.Q na object poverty. Maeneo yenye umasikini uliotopea, I.Q za wengi ziko low!.

Angalia level ya umasikini ukanda wa Pwani, including Zanzibar, mikoa ya Singida, Dodoma, Lindi na Mtwara, au makabila yenye umasikini uliotopea kama Wagogo, Warangi, Wanyaturu, Wabarbaig, Wasandawe, Wataturu, Wahadzabe, Wazaramo, Wandengereko etc, linganisha na mikoa yanye neema, Kilimanjaro, Bukoba, Mbeya, Iringa, Mwanza, etc, angalia I.Q za Wachagga, Wahaya, Wanyakyusa etc, bila kusahau the royal tribe, Wasukuma, watu wanaokula vizuri, wanakuwa na I.Q kubwa. Makabila ya mlo mmoja, wanakuwa na low I.Q!.

Data zangu ni kwa mujibu wa random sampling ya matokeo ya mitihani ya kidato cha 4!. Hili hata Mwalimu Nyerere aliliona, hivyo hadi leo, japo Tanzania nzima wanafanya mtihani mmoja wa darasa la saba lakini cut off points za kufaulu ni tofauti mikoa na mikoa ili Watanzania wote wapate fursa za kuendelea kielimu. Tungetumia uniform cut off points, shule zote za sekondari zingejaa Wachagga, Wahaya na Wanyakysa na kuna makabila wasingegusa secondari!.

Mwalimu Nyerere aliwahi kuwasomesha kwa nguvu watoto 4 wa kabila la Wahadzabe, wote walifeli darasa la saba, lakini akalazimisha waende sekondari kwa lazima. Wakasomea pale Pugu, na wote wanne walipata Divisheni Zero!.

Niliwahi kuuliza swali hili, sikupata jibu
Inawezekana Vipi Zanzibar Hakuna Div I, Div II, wala Div III , Wao ni Div IV na Div Zero Tuu?!.

Ila pia kuna uhusiano kati ya heigh ya mtu na akili zake, mtu akiwa mfupi, anakuwa na akili fupi!' Anza kuwa observe heights za waropokaji bungeni, utaniambia!'
Hili la watu wafupi, nililizungumza hapa, wanafanya vitu vya ajabu kutafuta recognition ili ku compensate inferiority complex yao inayosababishwa na height!.

Je, kuna ukweli watu wafupi wana inferiority complex hivyo kukasirika sana wanapohisi kudharauliwa?

Hili la poverty level na low I.Q lina athari kubwa kisiasa, angalia levels za umasikini kwenye maeneo watu waliochagua upinzani, ulinganishe na ngome za CCM, utakuta kwenye umasikini uliotopea ndizo ngome za CCM, na kule kwenye ehueni, ndio wamewachagua wapinzani, angalia Kilimanjaro, Bukoba, Arusha, Tanga, Iringa, Mbeya etc, mkoa kama Dodoma hauwezi kuchagua upinzani, they are just too poor to understand wanachagua nini!. Hata Singida, Lissu is an exceptional case. Hivyo hii situation ya I.Q level ina effects kwenye siasa zetu, hivyo kuendelea kushinda kwa CCM, has something to do with this na nilisema hapa
Watanzania ni ignorants au tumelogwa? October 25, tutafanya informed decision au tutachagua tuu?

Mtazamo: Kanda ya Kaskazini, CCM imechokwa mpaka basi!

Ikitokea CCM ishinde, Je ushindi huo ni kutokana kuwekeza kwenye Maendeleo au kwenye Ignorance?

Kuichagua tena CCM, Je ni kielelezo cha kufanya informed decision, au ni Ignorance?

Hoja zote hizo zinauhusiano na I.Q, na kitu cha ajabu kabisa, kwa kadri vyuma vinavyobana, ndivyo CCM inavyoimarika, mtashuhudia 2020, karibu majimbo yote ya upinzani kama sio yote kabisa huku bara, yatairejesha CCM, upinzani utaanza tena 2025 baada ya rais Magufuli kuipeleka Tanzania kwenye uchumi wa kati, na kuumaliza umasikini.

NB. Kwenye every general rules, there is always exceptional to the case, hivyo hivyo kuna watu wa makabila masikini wenye high I.Q, na kuna watu wafupi wenye akili ndefu na kuna mijitu mibonge yenye akili fupi and vice versa!.

Paskali
Rejea
Kuwa Kichaa Sio Mpaka Kuokota Makopo!. Jee Tanzania Tuna Vichaa Wengi Kuliko Tunavyojidhania?!.
------------

Mdau field marshall1 amepanua wigo wa mjadala huu. Unaweza kusoma hoja zake na kushiriki mjadala >> Tatizo la ufukara kwa baadhi ya makabila ni mfumo wa maisha (Lifestyles)
 
H
Watu wanaokulia ktk maeneo yenye lishe duni, ukame wa mara kwa mara na kiwango kikubwa cha utapia mlo au kutoka familia masikini zisizo na uwezo wa kupata milo angalau miwili husababisha udumavu wa akili na low IQ.

Vv
Hiyo sidhani , mbona watu wa singida na wapare wako maeneo kame lakini wana akili sana , infact hao jamaa wako smart kuliko hata hayo makabila mnayoyasifia, mkoa mwingine ambao watu wako smart ni mara
 
Mkanganyiko unaanzia hapo kwenye kuitafsiri IQ yenyewe. Kuna mtu ana uwezo mkubwa wa kupambanua mambo na uelewa wa hali ya juu hata kabla ya kwenda shule.

Kuna kundi la pili wamejikuta wapo kwenye mazingira ya shule inabidi wajifunze mambo kwa mfumo wa darasani.

Nnachoweza kusema, IQ mtu anszaliwa nayo, iwe ndogo au kubwa, ila mazingira, malezi ndio vinachangia kuikuza au kuididimiza.

Ni kweli wanyaturu wengi hawakwenda shule hapo awali lakini wachache walioenda wanafanya vizuri sana darasani. Hali kadhalika watu wa Zanzibar, ukimpata aliyeamua kusoma, hawakamatiki.

Naomba tuanzie kuelewa vizuri IQ kwa mapana yake.
Umesema kweli mkuu
 
Hivi IQ ni kusoma au elimu ya darasani,tena ktk western education? We Nkololo sijui Nyangokolwa mbona unayachanganya haya mambo? Kwahiyo kabla ya mzungu, waafrika wote hawakuwa na hiyo kitu mukiitacho IQ kwakuwa hiyo elimu haikuwepo.

Kwa kivuli kisichojulikana cha IQ, mi nilidhani IQ ni neno lenye tafasiri ya kiswahili la "akili", sasa kiwango cha akili kwa mtu kamwe hakipimwi kwa kiwango chake cha elimu. Wako watu wenye akili nyingi lakini hawajawahi hata kusoma la kwanza. Sasa kipi ni kipimo halisi cha hiyo muiitayo IQ? Wajuzi wa haya mambo waje watudadavulie. Nawajua walio wafupi, tokea jamii masikini, wa kanda zilizohainishwa kuwa ni wa low IQ, ila wana IQ kubwa kuliko wale wengineo, kwa vigezo vyangu, inawezekana siko sahihi.
Mkuu uko vizuri saana
 
“IQ kubwa siyo aghalabu/kawaida, kupatikana kwenye umasikini”, nakubaliana na hoja.

Kwenye umasikini kuna mambo mengi yanayochangia low IQ.

Pia culture ina contribute hapo.

Kwenye kimo sidhani. However, kuna studies zinaonyesha watu wafupi kuwa na low self esteem.

People who experience social situations from a lower height - in other words short people - are more prone to feelings of paranoia, inferiority and excessive mistrust.

In a study in the journal Psychiatry Research, scientists showed that making a person's virtual height lower than it actually is can make them feel worse about themselves and more fearful that others are trying to harm them.
Hivi mtu ambaye hakufaulu form four akaanzisha biashara na mtu aliyefauru na kusoma na kupata kazi mfano uhasibu/ ualimu , baada ya miaka kumi au zaidi huyu aliyefeli form four amekuwa na pesa nyingi kuliko yule mwalimu, infact mwalimu anategemea ajira ( mshahara) , sasa hapo nani mwenye IQ kubwa kuliko mwenzake ?
 
Ni vizuri kujiuliza kama binadamu. Uko sahihi. Hakuna uhusiano wa moja kwa moja kati ya IQ na kabila. Ila kuna uhusiano wa moja kwa moja kati ya IQ na makuzi/malezi na pia vinasaba kwa maana ya lishe na mambo mengine yanayozunguka. Lishe ni muhimu sana! Kuna watu wanahusisha umaskini, lakini nadhani ni pale umaskini unapoutafsiri kwa maana ya mjini. Yaani kuwa na gari, nyumba kubwa, nk. Hiyo hapana.

Angalia wale jamaa wa kale ka-kisiwa ka ziwa victoria Ukerewe (Siyo dhambi kuwataja, tuvumiliane) wanavyojulikana kwa IQ kubwa, lakini siyo matajili. IQ yao inachangiwa na lishe! Samaki kwa wiiingi, ugali kidogo. Kwa mwanakijiji wa kisiwani kula samaki siyo utajili! Ni sehemu ya maisha yake. Hapo sasa ndo kabila linaingia maana ukiwa kabila lako liko maeneo ambao mulo ni tatizo, jamii nzima hujikuta kichwani ni patupu!

Kuna makabila yanaonyesha kitu kama IQ kumbe siyo! Kwa sababu tu ya kuweza kuingia mashuleni kwa uwezo wa kifedha, wamejikuta sehemu muhimu, ila kiukweli siyo IQ, ni shida! Tutofautishe IQ na shule.[/QUO Ww umeongea kweli hasa hiyo pont ya mwisho
 
Hapa nnachokiona wengi tunachanganya kwenda shule na kuwa na akili. Wachaga, wanyakyusa na makabila mengine walipata fursa ya kuhudhuria darasani kwa wingi.


Niongezee kwenye hii hoja hapo kwenye ukabila au ukanda, kitu gani kinafanya watu wa eneo flani kuwa wazuri katika baadhi ya shughuli? Mfano, mchaga biashara ipo kwenye damu ahudhurie darasa au asiende lakini atafanya chochote hata kama kupiga kiwi viatu.
 
Sio kweli kuwa IQ ya mtu inakuwa influenced na Kabila.

" Kabila " has nothing to do with IQ.

Kuna wengine kujua tu lugha ndio kunamfanya awe wa kabila alilo nalo baas.

Ila nutrition au Diet inaweza kuinfluence IQ ya mtu hasa mtoto.

Kwa ulaya, karne nyingi za zamani ndizo zilizotoa geniuses wengi maarufu duniani na waliofanya gunduzi mbalimbali. Kama akina Michael Faraday, Albert Einstein, Aristotle, Alexander Bell, Isac Newton, Macnon na wanafalsafa mbalimbali wakubwa.

Miaka hii ambayo kwa ulaya na Amerika chakula kimeboreshwa sana kiubora hatuoni watu wenye IQ kubwa kama zamani.

Wajapan wana IQ kubwa mno na wanasema sababu ni kuwa wanakula sana raw marine organisms

Mtu mwenye IQ kubwa anaweza kuwepo katika kabila lolote lile kiasili ila anaweza asije kujulikana kwasababu ya mazingira yanayomzunguka na jamii anayoishi nayo.

Suala la Wachaga, Wahaya na Wanyakyusa kuwa wengi katika nyanja za elimu linatokana na suala la kihistoria ambalo ni

Uanzishwaji wa makanisa,hospitali, shule, na taasisi nyingi za kielimu katika ardhi yao, uliofanywa na wakoloni

Na ndio maana kuna idadi kubwa sana ya Wakristo walio wasomi kuliko Waislam tangu enzi hizo kwasababu taasisi hizo za elimu, dini na afya zilianzishwa katika mikoa yao, mfano Kilimanjaro, Mbeya, Kagera na hata Arusha pia kuna taasisi nyingi za elimu za wakoloni.

Mikoa yenye waislam wengi (kasoro wagogo tu) ndiyo uliyoiorodhesha katika list ya wenye IQ ndogo kama Mtwara, Lindi, Kondoa(kwa warangi), Wanyaturu.

Pia ingekuwa ni suala la chakula pekee iongezayo IQ basi wasukuma, wahehe na watu wa morogoro wenye vyakula haswa nao wangekuwa wengi vyuoni ila sivyo ilivyo mpaka sasa.

This case is mainly based on historical matter.
Azarel nakupa big up ni kweli athari za ukoloni ndio zilichangia makabila flani kuwa mbali kielimu na kiuchumi.Kenya wakikuyu,Uganda Wabaganda,Tanzania wachaga,wahaya,wanyakyusa.
Mkoloni hakuwa mjinga kuwekeza sehemu hizo kutokana na hali ya hewa rafiki kwake na ardhi yenye ruhusa
 
Wanabodi,

Usingizi umekata kutokana na mawazo ya huku kukaza kwa vyuma!, mtu unalala hujui kesho siku itaanza vipi, ukiwa totally empty!. Hivyo faraja yangu pekee ni JF. Nimesoma uzi fulani, nikaanza kuwaza na kujiuliza maswali huku mengine nikijijibu mwenyewe.

Huu ni uzi wa swali kuhusu I.Q za baadhi ya wanasiasa wetu wanaotuhumiwa kuwa na low I.Q, wakiwemo mawaziri, wabunge na wakuu wa mikoa, na vigogo wengine wengi, hivyo nikajiuliza kwanza jee ni kweli hawa wanaotuhumiwa kuwa na low I.Q, jee ni kweli wana low I.Q, au ni mtu tuu ametoa mawazo tofauti, wewe huyapendi, ndio unamtukana ana low I.Q?.

Ndipo nikaanza kujiuliza, jee kuna uwezekano watu wenye I.Q ndogo ni kutokana na makabila yao, kiwango chao umasikini kwenye makuzi, au pia heights zao have something to do with low I.Q, yaani mtu akiwa mfupi, anakuwa na akili fupi?.

Naomba kukiri zaidi ya kukosa usingizi, nimekuwa inspired na motivated kupandisha bandiko hili kutokana na hoja za mwana jf huyu, jidu-la-mabambasi, katika bandiko lake hili
Juma Nkamia ana tatizo la msingi!

Mkuu Jidu, kwa vile mimi nimefanya kazi na Mhe. Juma Mkamia alipojoin RTD, hivyo naomba nisicomment kuhusu I.Q yake, ila generally kuna uhusiano mkubwa kati ya kiwango cha I.Q na object poverty. Maeneo yenye umasikini uliotopea, I.Q za wengi ziko low!.

Angalia level ya umasikini ukanda wa Pwani, including Zanzibar, mikoa ya Singida, Dodoma, Lindi na Mtwara, au makabila yenye umasikini uliotopea kama Wagogo, Warangi, Wanyaturu, Wabarbaig, Wasandawe, Wataturu, Wahadzabe, Wazaramo, Wandengereko etc, linganisha na mikoa yanye neema, Kilimanjaro, Bukoba, Mbeya, Iringa, Mwanza, etc, angalia I.Q za Wachagga, Wahaya, Wanyakyusa etc, bila kusahau the royal tribe, Wasukuma, watu wanaokula vizuri, wanakuwa na I.Q kubwa. Makabila ya mlo mmoja, wanakuwa na low I.Q!.

Data zangu ni kwa mujibu wa random sampling ya matokeo ya mitihani ya kidato cha 4!. Hili hata Mwalimu Nyerere aliliona, hivyo hadi leo, japo Tanzania nzima wanafanya mtihani mmoja wa darasa la saba lakini cut off points za kufaulu ni tofauti mikoa na mikoa ili Watanzania wote wapate fursa za kuendelea kielimu. Tungetumia uniform cut off points, shule zote za sekondari zingejaa Wachagga, Wahaya na Wanyakysa na kuna makabila wasingegusa secondari!.

Mwalimu Nyerere aliwahi kuwasomesha kwa nguvu watoto 4 wa kabila la Wahadzabe, wote walifeli darasa la saba, lakini akalazimisha waende sekondari kwa lazima. Wakasomea pale Pugu, na wote wanne walipata Divisheni Zero!.

Niliwahi kuuliza swali hili, sikupata jibu
Inawezekana Vipi Zanzibar Hakuna Div I, Div II, wala Div III , Wao ni Div IV na Div Zero Tuu?!.

Ila pia kuna uhusiano kati ya heigh ya mtu na akili zake, mtu akiwa mfupi, anakuwa na akili fupi!' Anza kuwa observe heights za waropokaji bungeni, utaniambia!'
Hili la watu wafupi, nililizungumza hapa, wanafanya vitu vya ajabu kutafuta recognition ili ku compensate inferiority complex yao inayosababishwa na height!.

Je, kuna ukweli watu wafupi wana inferiority complex hivyo kukasirika sana wanapohisi kudharauliwa?

Hili la poverty level na low I.Q lina athari kubwa kisiasa, angalia levels za umasikini kwenye maeneo watu waliochagua upinzani, ulinganishe na ngome za CCM, utakuta kwenye umasikini uliotopea ndizo ngome za CCM, na kule kwenye ehueni, ndio wamewachagua wapinzani, angalia Kilimanjaro, Bukoba, Arusha, Tanga, Iringa, Mbeya etc, mkoa kama Dodoma hauwezi kuchagua upinzani, they are just too poor to understand wanachagua nini!. Hata Singida, Lissu is an exceptional case. Hivyo hii situation ya I.Q level ina effects kwenye siasa zetu, hivyo kuendelea kushinda kwa CCM, has something to do with this na nilisema hapa
Watanzania ni ignorants au tumelogwa? October 25, tutafanya informed decision au tutachagua tuu?

Mtazamo: Kanda ya Kaskazini, CCM imechokwa mpaka basi!

Ikitokea CCM ishinde, Je ushindi huo ni kutokana kuwekeza kwenye Maendeleo au kwenye Ignorance?

Kuichagua tena CCM, Je ni kielelezo cha kufanya informed decision, au ni Ignorance?

Hoja zote hizo zinauhusiano na I.Q, na kitu cha ajabu kabisa, kwa kadri vyuma vinavyobana, ndivyo CCM inavyoimarika, mtashuhudia 2020, karibu majimbo yote ya upinzani kama sio yote kabisa huku bara, yatairejesha CCM, upinzani utaanza tena 2025 baada ya rais Magufuli kuipeleka Tanzania kwenye uchumi wa kati, na kuumaliza umasikini.

NB. Kwenye every general rules, there is always exceptional to the case, hivyo hivyo kuna watu wa makabila masikini wenye high I.Q, na kuna watu wafupi wenye akili ndefu na kuna mijitu mibonge yenye akili fupi and vice versa!.

Paskali
Rejea
Kuwa Kichaa Sio Mpaka Kuokota Makopo!. Jee Tanzania Tuna Vichaa Wengi Kuliko Tunavyojidhania?!.
------------

Mdau field marshall1 amepanua wigo wa mjadala huu. Unaweza kusoma hoja zake na kushiriki mjadala >> Tatizo la ufukara kwa baadhi ya makabila ni mfumo wa maisha (Lifestyles)
Kwanza IQ ni nn
 
Environmental Factors that affect IQ include:
  • modern media
  • education
  • breast feeding
  • womb conditions
  • nutrition
  • pollution
  • nurture and parenting
  • prejudices and self belief
  • national culture
  • head injuries
  • sleep problems
  • drug and alcohol abuse
  • mental illnesses:
  • stress and diseases:
Super mind
 
Back
Top Bottom