Niko msibani hapa Mbezi Goigi ambako mwili wa marehemu Ustadh Ilunga Hassan Kapungu umelala. Kitu kizuri ni kuwa hakuna alietetereka kwa msiba huu kwani kila mmoja wetu anajua kila nafsi itaonja mauti na huu ni muda wa Ustadh Ilunga. Kizuri kingine ni kuwa amefariki kwa ugonjwa ambao ulimuanza...
Kwa CHADEMA kuwa na busara, nidhamu, utii na mapenzi ya chama ni KUTOHOJI chochote unachoona hakiendi sawa. Ukihoji tu basi we unakuwa msaliti na usie na mapenzi na chama. Napata taabu sana watu wanapoona kiwa ni sawa kwa ZITTO kutendwa alikotendwa ila si sawa kwa yeye kuonesha au kuelezea isia...
Wakati mwingine ni vizuri kujitangaza mkuu, ukisubiri watu wajue kuwa una Ddtv na unasomesha watoto wawili kwa mamilioni watu hawajui. Hapo kiongozi umesahau kututajia mshahara wako, gari unaloendesha, nyumba ni ya kupanga au umejenga, screen unayoangalizia Dstv ni flat na ni Lcd au Led, una...
Dah! Kama kuna mtu kanishangaza ni wewe ndungu yangu. HATA KAMA BABA YAKO KATAJWA KUWA MPOLE. Ebu nifafanulie ndugu, yaani wewe umejips mamlaka ya kuamua nani amfanyie nini mwenzie na nani ariact vp kwa mwengine? Wa kugrow hapa ni wewe ndugu yangu. Labda nikuulize, usingechangia hii mada...
I understand step mum, the problem is you confuse me sometimes. You say U wonder I don't know even to construct a single sentence in swahili and yet you understood and replied to my every conversation and now you have swirched to english, luck enough you sugar daddy (my father) took me to a good...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.