Investigation Officer PCCB

Investigation Officer PCCB

Maombi ya watu kwenye hiyo post yamefikia zaidi ya elf arobaini sasa mchakato utakua mrefu kidogo itabidi tuongeze vigezo ikiwa ni pamoja na physical fitness
 
Maombi ya watu kwenye hiyo post yamefikia zaidi ya elf arobaini sasa mchakato utakua mrefu kidogo itabidi tuongeze vigezo ikiwa ni pamoja na physical fitness




Na watu kama Bozobozo wapimwe akili, wanaohisi kumdhalilisha mwanaume ni kumuitwa mwanamke
 
huo mchakato bado ni mrefu sana, pia kama umesoma education wewe ondoa matumaini maana huwezi chukuliwa
 
Jaman ni kwl chumba kinaweza kuwa kilijaa maombi,lakn je ni graduate wa 2013 kwl? Na kama ndyo je kwl wote walikuwa na matokeo? Afu pia chet cha darasa la 7. ? Kwa mantiki hyo kuna watu weng waliomba na hawakuwa na vgezo. Kwn tangazo lilitaka fresh graduate from school. So thnk of it!!!
 
Jaman ni kwl chumba kinaweza kuwa kilijaa maombi,lakn je ni graduate wa 2013 kwl? Na kama ndyo je kwl wote walikuwa na matokeo? Afu pia chet cha darasa la 7. ? Kwa mantiki hyo kuna watu weng waliomba na hawakuwa na vgezo. Kwn tangazo lilitaka fresh graduate from school. So thnk of it!!!

Inawezekana hukuelewa walikuwa na maana gani waliposema freshers!
 
Na watu kama Bozobozo wapimwe akili, wanaohisi kumdhalilisha mwanaume ni kumuitwa mwanamke
Nakubaliana na wewe mdau wanawake wanabidi wajitokeze wam sue huyu gay yyii Bozobozo, mi navojua mwanamke ni zaidi ya sisi vidume na tunawategemea sana...
 
Inawezekana hukuelewa walikuwa na maana gani waliposema freshers!

inawezekana. Ila nakumbuka walisema wanata freshers wenye degree/advance diploma. Na pia direct entrant from colleges. Sasa nahc direct entrant wa 2013 hawakuwa na transcrpt. Pia weng hawakwenda ku certfy vyet mahakaman. So hapo kuna mambo hayajakaa vzur. Cju we unaonaje hlo ndugu yngu.
 
Nakubaliana na wewe mdau wanawake wanabidi wajitokeze wam sue huyu gay yyii Bozobozo, mi navojua mwanamke ni zaidi ya sisi vidume na tunawategemea sana...

Akili zangu ziko timamu na ndio maana nikasema kitu ambacho nlikuwa nakijua. Wakupimwa akili ni wewe unaeacha kujadili hoja na kuanza kumjadili mtu.
 
Wewe mwanasheria kuwa na First class na Upper Second alafu siyo wakili utasikia kwenye bomba hizo kazi.
 
kazi hizo hazina proffessionals ndiyo maana lazima mwende kozi, form six na form four wako kibao katika taasisi hiyo, wewe ka ni graduate na una vigezo vyote jiandae kuitwa interview
 
mtaongea sanaaaaaaa mtakuja kujua watu washaenda kazini
 
inawezekana. Ila nakumbuka walisema wanata freshers wenye degree/advance diploma. Na pia direct entrant from colleges. Sasa nahc direct entrant wa 2013 hawakuwa na transcrpt. Pia weng hawakwenda ku certfy vyet mahakaman. So hapo kuna mambo hayajakaa vzur. Cju we unaonaje hlo ndugu yngu.

Brother hivi walikua specific kwamba wanataka waliomaliza 2013 ? Maana wakisema freshers ukifikiria nje ya boksi unakuta hata wale waliomaliza chuo na hawakuwahi kufanya au kupata kazi wanakua inclusive..na pia kigezo cha law school kwa waliopiga LL.B ndo balaa how can you be a fresher of 2013 and yet attend law school, kama waliweka hivyo ili watu wakate tamaa ya kutuma mie sielewi..na kuhusu transcripts Udsm walikua washatoa muda tuu..kwa vyuo vingine mie sifahamu...Over..!!
 
Mwenzangu na mimi kuitwa kwenye interview ya PCCB tegemea muujiza! Shikamoo watoto wa wakubwa ambao kichwani hamna kitu ila ndo mnapata kazi nzuri.HAPPY NEW YEAR COMRADES
 
inawezekana. Ila nakumbuka walisema wanata freshers wenye degree/advance diploma. Na pia direct entrant from colleges. Sasa nahc direct entrant wa 2013 hawakuwa na transcrpt. Pia weng hawakwenda ku certfy vyet mahakaman. So hapo kuna mambo hayajakaa vzur. Cju we unaonaje hlo ndugu yngu.

Thats true...pia i dont think if it's that possible kupata fresh from college wenye professional qualifications such as in law,ict or accountng as they said professional qualifications will be an added advantage
 
Back
Top Bottom