Investigation Officer PCCB

Investigation Officer PCCB

Bab ako atakuwa anafanya PCCB...Umejuaje:bored:

Ni upeo mfupi ndio uliokupa hiyo conclusion. Possibilities za kujua hilo bila ya baba yangu kuwa mfanyakazi wa pccb ziko nyingi sana ila kwa kuwa wewe ni mvivu wa kufikiri naona ukaishia hapo: Ulipoishia wewe kuwa bored mi ndio nimeanzia.
 
Siku nyingine unatakiwa uende na mada c o unashangaashangaa na kuuliza maswali ya kitoto..unakuwa kama sio Ga yyy wakati ndo kazi yako..j2 njema

Nitajitahidi kukuiga wewe demu wake baba yangu ambaye ni mfanyakazi wa Pccb. Jpili lazima iwe njema kwakuwa umeishaniombea demu wake baba mfanyakazi wa pccb.
 
Uwe unaenda na move za mada zinavyoenda c o unalialia tu baba angu kaingiaje humu..unakuwa kama c o Gaa yyyii wakati ndo kazi yako..

Demu wa baba, move ya mada ilihusu kazi za Pccb basi hakukuwa na baba yake fulani anafanya nini wala wapi. Wewe demu wa baba yangu na huyo mama yangu mdogo mwingine ndio mlikuja na issue za baba yake fulani anafanya nini. Najua ukitafakari vizuri utauona ukweli tu. Mada haikumuhusu baba yake mtu ila kazi za Pccb.
 
Umejuaje kama chumba kizima kimejaa? au unaturusha tu.

Asante sana mdau kwa swali zuri na pole sana kwa kuchelewa kulijibu. Ni hivi nikiwa kama mdau wa hizo nafasi za kazi nafatilia kwa ukaribu sana na nna mtu wa karibu sana anaenisaidia taarifa kama hizo. Ni hayo tu.
 
Nitajitahidi kukuiga wewe demu wake baba yangu ambaye ni mfanyakazi wa Pccb. Jpili lazima iwe njema kwakuwa umeishaniombea demu wake baba mfanyakazi wa pccb.
I am gentleman my young kid and i wonder u don't know even to construct a single sentence in swahili, i wish i could be close to u n'kick u a small a ss hole......teaching u what's all about and make u to behave next tym..poor kid
 
I am gentleman my young kid and i wonder u don't know even to construct a single sentence in swahili, i wish i could be close to u n'kick u a small a ss hole......teaching u what's all about and make u to behave next tym..poor kid

I understand step mum, the problem is you confuse me sometimes. You say U wonder I don't know even to construct a single sentence in swahili and yet you understood and replied to my every conversation and now you have swirched to english, luck enough you sugar daddy (my father) took me to a good english medium school so I understand a little english. Still we can continue with our business STEP MUM.
 
halafu nyie ndio mnataka kaz kwenye taasisi nyeti kaa hiyo huku mnatukanana,poleni sana
 
hacheni kutulusha we kama unakizi vigezo utapata kazi hiyo ninachowashangaa wasomi wazima mnakata tamaa mapema kama degree zenu za kukariri!
 
I understand step mum, the problem is you confuse me sometimes. You say U wonder I don't know even to construct a single sentence in swahili and yet you understood and replied to my every conversation and now you have swirched to english, luck enough you sugar daddy (my father) took me to a good english medium school so I understand a little english. Still we can continue with our business STEP MUM.
Kijan hii ni forum kubwa tu na inaheshimika hata kama baba ako katajwa kuwa mpole tu..huo mtindo wa kuita watu Mama, shangazi warembo hautakufikisha mbali ....u have to grow.....
 
Kijan hii ni forum kubwa tu na inaheshimika hata kama baba ako katajwa kuwa mpole tu..huo mtindo wa kuita watu Mama, shangazi warembo hautakufikisha mbali ....u have to grow.....

Dah! Kama kuna mtu kanishangaza ni wewe ndungu yangu. HATA KAMA BABA YAKO KATAJWA KUWA MPOLE. Ebu nifafanulie ndugu, yaani wewe umejips mamlaka ya kuamua nani amfanyie nini mwenzie na nani ariact vp kwa mwengine? Wa kugrow hapa ni wewe ndugu yangu. Labda nikuulize, usingechangia hii mada ungekosa usingizi kaka. GROW UP, mi nlishakuwa na ndio maana najihusisha na vinavyonihusu sasa na wewe ukitaka unihusu jihusishe na mimi.
 
Back
Top Bottom