Msaada kwenye tuta Kwa anayefahamu jinsi ya kuagiza bidhaa Kwa hao jamaa mpaka inakufikia bongo unafuata taratibu zipi na je sio wababaishaji au wapigaji.
Sio waya wanakwambia mita yako imefika wanayo wanakuja kukufungia Kisha wanaanza story kibaaoo ili uwatumie Hela waje haraka ukijichanganya hawapatikani na wanamaneno hatari hawana tofauti na tanesco wenyewe [emoji1787]
Nissan Tiida na mazda verissa hizi gari zote nimezimiliki na nimefanikiwa kuziuza japo kukatishwa tamaa na wadau kulikuwa kwingi sana Sasa nataka niagize Nissan note aliyewahi imiliki vipi sifa zake ni gari nzur au?
Japo haikuwa rahisi kivile nashukuru mungu nimefanikiwa kuhamia kwangu
Kweli nimeamini ukiwafatilia sana walimwengu haujengi vitisho vingiiii hasa hawa mafundi wa mitandaoni kitu Cha laki atakwambia laki Saba[emoji2957][emoji2957]
Kuna mtindo vibaka wanapita kutafuta nyumba ambazo hazijawekwa umeme Bado zikiwa na chuma la kupokelea umeme wakikuta nyumba ya hivyo na hakuna mtu wanaweka namba zao wanaandika TANESCO ukija kujichanganya kuwapigia wanamaneno hatari utafikiri ni tanesco wenyewe ukizubaa utajikuta umepigwa Hela...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.