Recent content by boy 1

  1. boy 1

    Jinsi ya kuzuia wezi wa Tv majumbani

    Ni jambo zur
  2. boy 1

    Jifunze njia nzuri ya kufanya manunuzi kwenye mtandao (Ebay, Amazon, Bestbuy)

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji120][emoji120]wewe ndio nimekuelewa kirahisi japo lugha yako Sasa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
  3. boy 1

    Waliowahi ku-order bidhaa online kupitia mtandao wa alibaba naombeni uzoefu wenu

    Msaada kwenye tuta Kwa anayefahamu jinsi ya kuagiza bidhaa Kwa hao jamaa mpaka inakufikia bongo unafuata taratibu zipi na je sio wababaishaji au wapigaji.
  4. boy 1

    Dawa ya Majambazi ni moto tu

    Watu kama nyinyi ndio mnakubaligi kupigwa miti kuingiziwa ukuni matakoni Kwa kisingizio Cha haki za binaadamu
  5. boy 1

    Tahadhari: Utapeli kuunganishiwa umeme kwenye nyumba mpya

    Sio waya wanakwambia mita yako imefika wanayo wanakuja kukufungia Kisha wanaanza story kibaaoo ili uwatumie Hela waje haraka ukijichanganya hawapatikani na wanamaneno hatari hawana tofauti na tanesco wenyewe [emoji1787]
  6. boy 1

    Tahadhari: Utapeli kuunganishiwa umeme kwenye nyumba mpya

    Iliniuma sana wale jamaa ningewakamata aisee
  7. boy 1

    Nissan na Mazda

    Niliiweka humu jf miezi kadhaa iliyopita wapo waliosema hiyo gari huuzi nikawa nawachora tu [emoji1787][emoji1787]
  8. boy 1

    Nissan na Mazda

    Kweli kabisa
  9. boy 1

    Nissan na Mazda

    Nissan Tiida na mazda verissa hizi gari zote nimezimiliki na nimefanikiwa kuziuza japo kukatishwa tamaa na wadau kulikuwa kwingi sana Sasa nataka niagize Nissan note aliyewahi imiliki vipi sifa zake ni gari nzur au?
  10. boy 1

    Hatimae nimehamia kwangu

    Japo haikuwa rahisi kivile nashukuru mungu nimefanikiwa kuhamia kwangu Kweli nimeamini ukiwafatilia sana walimwengu haujengi vitisho vingiiii hasa hawa mafundi wa mitandaoni kitu Cha laki atakwambia laki Saba[emoji2957][emoji2957]
  11. boy 1

    Tahadhari: Utapeli kuunganishiwa umeme kwenye nyumba mpya

    Kuna mtindo vibaka wanapita kutafuta nyumba ambazo hazijawekwa umeme Bado zikiwa na chuma la kupokelea umeme wakikuta nyumba ya hivyo na hakuna mtu wanaweka namba zao wanaandika TANESCO ukija kujichanganya kuwapigia wanamaneno hatari utafikiri ni tanesco wenyewe ukizubaa utajikuta umepigwa Hela...
  12. boy 1

    Uzi maalum wa kutafuta mchumba. Weka Wasifu wako hapa upate wa kuanza naye maisha (njoo tuishi/tuyajenge)

    Umri 34 Kazi mtumishi wa uma Makazi dar Sifa za mke Muislam Awe mwembamba
Back
Top Bottom