Dawa ya Majambazi ni moto tu

Dawa ya Majambazi ni moto tu

Tutaje maeneo ambayo ni machimbo ya Majambazi na wauza madawa ya kulevya ni maeneo yote ya pembezoni mwa Jiji la DSM na baadhi ya maeneo ya katikati;

1. Tegeta, Bunju, Kibamba, Kivule n.k

2. Sinza, Buruhati, Magomeni, n.k

...............
endelea.............
 
hujakutana na mikiki ya hao wanapokuwa kazini!

au uskie tu wanaleta fujo kwa jirani!
Mazali kama hayo kila siku naombea yanitokee wanapokuwa Kazini lakini cha kuskitisha huwatokea wengine. Yani siku wakithubutu kunivamia huo mkono ntakavyoutembeza. Yani nalala mlango wazi Maksud tu kila siku lakini wapi.

Fak
 
Haki ya kwanza ya binadamu ni kuishi. Hapo polisi wamekatisha haki zao za kuishi na ni kinyume na haki za binadamu.
I'm sure if it happened that police were the one killed in this case, you wouldn't have come up with anything concerning HUMAN RIGHTS !!
 
Mazali kama hayo kila siku naombea yanitokee wanapokuwa Kazini lakini cha kuskitisha huwatokea wengine. Yani siku wakithubutu kunivamia huo mkono ntakavyoutembeza. Yani nalala mlango wazi Maksud tu kila siku lakini wapi.

Fak
Hata kwenye vitabu vya Mungu vinasema siku hajapo mwizi ni siku usiyoijua unaweza kujiandaa leo ,
wenzio wakaja kesho kwa hiyo sio jambo lakuombea kabisa mkuu, tena tema mate chini😁
 
Pongezi kwa Jeshi letu la polisi kwa kufanikiwa kudhibiti tukio la kihalifu huko tegeta kwa kuwauwa majambazi 3.
chanzo.
Chanel ten & azamtv.

Mwendo huo huo, na sisi wananchi tupo tayari kuwafichua wahalifu wote, majambazi na wauza madawa ya kulevya, aina hii ya watu hatuwataki kabisaa kwenye jamii yetu wanastahiki kuishi chini ya ardhi.
Niwapongeze sana polisi wetu jasiri na niunge mkono hoja hawa wapenda dezo ni kuwamaliza tu hayataki kulima wala kufanya kazi kazi yao kuibia wachapakazi wenye mafanikio "tuyafichue na tuyaripoti"
>Haya mapenda dezo ndiyo yanayoaribu mifumo mingi tu ya nchi yetu yanafoji document serekalini, yanaibia watu viwanja kwa document fake kwa kusaidiana na watumishi Ardhi wenye vimelea vya ujambazi, uizi forgery utapeli huu wote ni ujambazi tu, NIISHUKURU SEREKALI KWA TASK FORCES MAALUM ZILIZOTAWANYWA KILA WIZARA
 
Wanauana wao kwa wao kwa faida ya wachache ila majambazi wengi ndio waliobakia. Ajabu ya Tanzania jambazi huita wenzake majambazi tena sugu
 
Haki ya kwanza ya binadamu ni kuishi. Hapo polisi wamekatisha haki zao za kuishi na ni kinyume na haki za binadamu.
Muombe sana Mungu wako usije kutana na iana ya watu kama hao! utakuja kufuta hii post yako na utamsapot mtoa thread!
Hao jamaa hawana huruma wanapokuwa kazini,

Hongera kwa Jeshi letu la Police!
 
Haki ya kwanza ya binadamu ni kuishi. Hapo polisi wamekatisha haki zao za kuishi na ni kinyume na haki za binadamu.
Kwa hiyo hao majambazi nao wanapokatisha maisha ya watu wasio na hatia na kuchukua Mali zao wako sahihi ?!
 
Kwa mujibu wa Taarifa zilizo tolewa na Kamanda wa Mkoa wa DSM ni kwamba;

Majambazi yaliyo uliwa yalikuwa majambazi sugu ambayo yaliwahi kusota gerezani miaka kadhaa na kisha badae kuachiwa kwa sababu za kisheria.

kwa maoni yangu hao majambazi hawakustahili kabisa kuishi duniani zaidi huko walipo sasa.

hiii ni kengele kwa majambazi wengine na wauza madawa ya kulevya endapo kama hawajabadilika basi wataishi chini ya ardhi.

Shime wananchi wote tuwafichue kila mahali.
Na vipi kuhusu nyinyi majambazi wa kalamu na mnaotumia kichaka kinachoitwa ccm! Polisi wataanza lini kuwashghulikia?

Haiwezekani muuze gesi, madini, wanyama pori, mbuga za wanyama, mnapiga ufisadi na rushwa za matrilioni ya shilingi! Halafu mnadunda tu mitaani.
 
Tutaje maeneo ambayo ni machimbo ya Majambazi na wauza madawa ya kulevya ni maeneo yote ya pembezoni mwa Jiji la DSM na baadhi ya maeneo ya katikati;

1. Tegeta, Bunju, Kibamba, Kivule n.k

2. Sinza, Buruhati, Magomeni, n.k

...............
endelea.............
3. Mtaa wa Lumumba, nk
.....................
endelea.....................
 
Haki ya kwanza ya binadamu ni kuishi. Hapo polisi wamekatisha haki zao za kuishi na ni kinyume na haki za binadamu.
Watu kama nyinyi ndio mnakubaligi kupigwa miti kuingiziwa ukuni matakoni Kwa kisingizio Cha haki za binaadamu
 
Watu kama nyinyi ndio mnakubaligi kupigwa miti kuingiziwa ukuni matakoni Kwa kisingizio Cha haki za binaadamu
Sijawahi kutukanwa kwa kiwango ulichonitukana. Kwani wewe unadhani yale mashirika ya human right watch na mengine ya aina hiyo yanashughulika na nini? Kuna bill nyingi sana duniani zinahusika na haki za kibinadamu.
Polisi mara ngapi wameuwa watu kwa kisingizio cha ujambazi na ikaja kujulikana kuwa sio kweli. Kisa xha wafanya biashara wa madini wa mahenge miaka ya 2010-11 kikimuhusisha aliyekaimu u rpc Abdalah Zombe. Juzi kati huko mtwara polisi sita wamestakiwa kwa mauwaji. Uoni kuwa ni ukiukaji wa haki za kibonadamu?
Lugha uliyotumia inapnyesha wewe ni aina ya watoto waliolelewa kwa kukosa maadili.

Mwisho kabisa. Utakuja dhalilika kwa matusi makubwa na katika mazingira yakp unakoheshimika.
 
Kwa hiyo hao majambazi nao wanapokatisha maisha ya watu wasio na hatia na kuchukua Mali zao wako sahihi ?!
Mkuu hii unayotaka hapa ni jino kwa jino. Lakini kuna watu kibao tu walioshtakiwa kwa kesi za ujambazi na hawakupatikana na hatia. Vp kama wangekutana na sheria mkononi? Uoni kama wangeweza kuuliwa wakati imeonekana hawana hatia?
 
Kuna Mtoto wa Darasa La 3 ameaanza kuiba Hela Nyumbani. Huyo nae ni Moto au nn?
 
Back
Top Bottom