Fundi_Mjasiriamali
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 748
- 1,329
Habarini za asubuhi wanajamvi,
Kuna bidhaa nataka ku-order online kupitia mtandao wa alibaba, je nitaratibu gani za kufuata ili niweze kuipta bidhaa hiyo kwanzia kufanya malipo mpaka kuweza kuitia mikononi..
napia naomba uzoefu kwa wale walioshawahi kufanya na kufanikiwa mpaka bidhaa kuwafikia ili wachukua siku ngapi, na je kuna utapeli wowote huko.
Je zile bei zinazoandikwa shilingi ya kitanzania ni fixed au ndi inabadilika kulingana na dollar inavyobadilika.
nawasililisha kwa msaada zaidi
Kuna bidhaa nataka ku-order online kupitia mtandao wa alibaba, je nitaratibu gani za kufuata ili niweze kuipta bidhaa hiyo kwanzia kufanya malipo mpaka kuweza kuitia mikononi..
napia naomba uzoefu kwa wale walioshawahi kufanya na kufanikiwa mpaka bidhaa kuwafikia ili wachukua siku ngapi, na je kuna utapeli wowote huko.
Je zile bei zinazoandikwa shilingi ya kitanzania ni fixed au ndi inabadilika kulingana na dollar inavyobadilika.
nawasililisha kwa msaada zaidi