Me nadhan kwa kuna changamoto kubwa watz na wazamiaji wengine wanaipata kwa sasa.
1:Sasa hivi teknolojia iko juu sana,bila shaka technolojia ndo adui mkuu wa mabaharia wengi kwa sasa.
SOte tunajua ndg zetu waliozamia 80% wawaliacha shule
2:Mabaharia wengi walikuwa wanaitumia SA kama kituo kidogo...
Ukielewa haya mambo wala hupati taabu na usijue kwanini upo hapa Duniani.
Quran tukufu imeshaweka wazi ila ni sisi tu kujizonga na kujitoa akili
Qur’an inatufundisha:
1:Tumeumbwa kumuabudu Allah Mungu muumbaji:
Surah Adh-Dhariyat (51:56)
وَمَا خَلَقْتُ الْجِنَّ وَالْإِنسَ إِلَّا لِيَعْبُدُونِ...
AI inakusifiaaa afu kuna sehemu inamalizia hivi:
".....Ukipenda ninaweza nikakuonyesha mbinu kali na bora zaidi kuliko hii,mbinu hii ndiyo inayotumika na wataalam,wasomi,wafanyabiashara wakubwa Duniani" by AI.:D
Ukisema "Ndiyo",unaletewa jibu na uchambuzi mkali hujawahi kuuskia popote
Hapa...
Hii AI nadhani tuitumie mahali ambapo umegonga mwamba...shida ni kwamb ukishaingia tu kule nayo inajipambanua balaa kiasi kwamb wewe mwenye hiyo idea unajiona mjinga na hujui chochote.
Wengi wao ni:
1:Malaya wanaojiuza na hapo yupo katika kujinadi
2:Wana akili za kimaskini,wanataka kuwaonyesha watu kwamb kuna hatua wamepiga na kwamb wao wapo smart kuliko nyinyi
3:Kuna watu wana watarget kwa malengo yao maalum
4:Wapo wakweli na wanaongea ukwel kwa lengo la kusaidia wengine ila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.