Ligi ya uingereza siyo mihogo ile kwamba ukijiskia tu unanunua,Epl,laliga,Sere A na Uefa hizi ligi huwezi kuzipata kirahisi kama vitasa...mfano Epl ili mtoa maudhui uipate ni lazima kwanza uwe na kitita cha maana,lakini pia kisumbusi chako lazima kiwe kimeenea/kusambaa katika nchi kadhaa siyo...