Recent content by Boutafrica

  1. Boutafrica

    JamiiForums Tanzania Nataka Kuacha Ukristo na Kujiunga na Buddhism – Nianzie wapi Dar?

    Jipe muda pia kuusoma uislam,ndiyo dini pekee iliyonyooka na ndiyo kimbilio pekee la watu wengi Duniani. Soma mafundisho halisi ya uislam usiwasome waislam.
  2. Boutafrica

    JamiiForums Tanzania Uchambuzi: Jinsi dhana ya "Utatu" na Mungu kuwa na "Mwana" inavyomshusha hadhi Mwenyezi Mungu

    Upo sahihi sana,wenye imani hii nina uhakika hata wao wenyew inawachanganya sana....lakini pia kwa ukitaka ujue jambo hilo haliingii akilini mchukue mtoto wa miaka 8 au 10 kisha mwambia MUNGU,NI BABA,MWANA NA ROHO MTAKATIFU,afu msikilize huyo mtoto maswali atakayokupiga. Ndugu zangu Mungu ni...
  3. Boutafrica

    JamiiForums Tanzania Afrika Kusini niijuavyo mimi

    Endelea mkuu...hizi story za kusafiri zinanimalizia sana mabando yangu kule youtube....nazipenda sana yan
  4. Boutafrica

    JamiiForums Tanzania Kama ulisoma Biology na unaamini kitimoto ni haramu kwa sababu hacheui, nenda kadai ada yako tu kilaza mkubwa wewe

    Aliyetuumba siyo mjinga kuwakataza watu wake kula nguruwe...Mungu ana upendo mkubwa sana na sisi ni vile hatujielewi tu,endeleeni kujitia upofu na kujiliwaza... Hebu msikilize huyu msomi wa kiislam akielezea kwa kina na kisayansi ni kwanini haifai na ni hatari kubwa kula huyu mnyama...
  5. Boutafrica

    JamiiForums Tanzania HOJA Tuliovaa Jeans, T-shirt, raba tumezuiwa kufanya usaili katika ajira ya TRC, hii ni sawa?

    Aisee hiki kizazi cha sasa kweli shida,hivi wewe umeshindwa hata kujiongeza...interview inabeba mambo mengi ikiwemo muonekano wako. Unapokaa kwenye kiti/meza ya interview kuna mikao yake siyo unajikalia tu kama upo kibanda umiza. Pale huwa unaangaliwa macho...
  6. Boutafrica

    JamiiForums Tanzania Kijana wa Congo abuni biashara ya kipekee, atoza watu shilingi elfu moja kumchapa kofi, wengi wavutiwa na ubunifu wake

    Tatizo lingine sugu tulilonalo wabongo ni kusifia mambo ya kijinga na kuyaita "ubunifu"....sasa hiyo hela, hayo maumivu na janga analojitengenezea unaona vipo sawa?
  7. Boutafrica

    JamiiForums Tanzania Je, kuna Mungu? Kwanini aruhusu mateso makali duniani?

    Mtoa mada kwanza unatakiwa utambue kwamba Mungu yupo na ni mkuu na wa milele,halali wala hasinzii,hajazaa wala hajazaliwa na hakuna anaefanana nae/nacho. Mungu yupo na anaonekana kwa wanaotumia akili zao sawa sawa kupitia alivyoviumba. Mimi naomba nikupe njia moja tu ndogo ifanyie uchunguzi na...
  8. Boutafrica

    JamiiForums Tanzania Tanga: Waja leo kuondoka majaliwa

    Kiukweli sisi tunaopenda maisha ya pwani Tanga ni patamu mnoo.
  9. Boutafrica

    JamiiForums Tanzania Naomba mnishauri, nasumbuliwa na vidonda vya tumbo

    Hii nakupa kama sadaka katumie. Chukua asali mbichi ile yenyewe vijiko vitatu weka kwenye kisahani,kisha chukua kipande vha limao kamulia katika hiyo asali thn anza kuilamba. Tengeneza mchanganyiko huo asubuhi kabla hujala chochote,mchana na usiku.,kama ni muislam sema neno "Bismillah Rahman...
  10. Boutafrica

    JamiiForums Tanzania Si Kila taarifa ya kwenye AI unaibeba kama ilivyo.

    Kingine nilichogundua ili Ai ikupe majibu mwanana ni lazima na yenyewe muwe MNAELEWANA,kwa maana uulize maswali au uielezee kwa kueleweka,ukikosea kuuliza inakujibu jinsi ulivyokuja,lakini pia ukitaka ikupe majibu mazuri huwa inapenda kukufahamu wewe,kwasbb tukumbuke hizi Ai kila...
  11. Boutafrica

    JamiiForums Tanzania Hongera Azam TV

    Ligi ya uingereza siyo mihogo ile kwamba ukijiskia tu unanunua,Epl,laliga,Sere A na Uefa hizi ligi huwezi kuzipata kirahisi kama vitasa...mfano Epl ili mtoa maudhui uipate ni lazima kwanza uwe na kitita cha maana,lakini pia kisumbusi chako lazima kiwe kimeenea/kusambaa katika nchi kadhaa siyo...
  12. Boutafrica

    JamiiForums Tanzania Joel Peter kawauliza waislamu na wakristu swali gumu

    Yes inawezekana kabisa tena katika uislam siyo tu kukusamehe bali pia kama wewe uliyeomba masamaha upo serious kweli basi yale mabaya yanageuzwa kuwa mema...Huwa al ghafur al Rahim.
  13. Boutafrica

    JamiiForums Tanzania Joel Peter kawauliza waislamu na wakristu swali gumu

    Mkishashiba mnakaa sasa kumkosoa aliyewaumba....kwanini msijadili kwamba imekuaje uwepo wako hapa Duniani unatamba,unaringa,unarukaruka ila umetokana na shahawa,kimiminika ambacho tone lake moja tu likidondokea kwenye nguo utafanya kila namna kiondoke?
  14. Boutafrica

    JamiiForums Tanzania Kwanini mtu mzima akilala hawezi kuanguka kitandani anapojigeuza

    Pia ukimtazama usoni kwa muda mrefu mtu aliyelala ni lazima aamke...Kweli Mungu mkubwa.
  15. Boutafrica

    JamiiForums Tanzania Jana usiku nime video chat na Cristiano Ronaldo dos Santos Aveiro, 🤯

    Picha ya mchongo
Back
Top Bottom