Recent content by Boutafrica

  1. Boutafrica

    JamiiForums Tanzania Je, kuna Mungu? Kwanini aruhusu mateso makali duniani?

    Mtoa mada kwanza unatakiwa utambue kwamba Mungu yupo na ni mkuu na wa milele,halali wala hasinzii,hajazaa wala hajazaliwa na hakuna anaefanana nae/nacho. Mungu yupo na anaonekana kwa wanaotumia akili zao sawa sawa kupitia alivyoviumba. Mimi naomba nikupe njia moja tu ndogo ifanyie uchunguzi na...
  2. Boutafrica

    JamiiForums Tanzania Tanga: Waja leo kuondoka majaliwa

    Kiukweli sisi tunaopenda maisha ya pwani Tanga ni patamu mnoo.
  3. Boutafrica

    JamiiForums Tanzania Naomba mnishauri, nasumbuliwa na vidonda vya tumbo

    Hii nakupa kama sadaka katumie. Chukua asali mbichi ile yenyewe vijiko vitatu weka kwenye kisahani,kisha chukua kipande vha limao kamulia katika hiyo asali thn anza kuilamba. Tengeneza mchanganyiko huo asubuhi kabla hujala chochote,mchana na usiku.,kama ni muislam sema neno "Bismillah Rahman...
  4. Boutafrica

    JamiiForums Tanzania Si Kila taarifa ya kwenye AI unaibeba kama ilivyo.

    Kingine nilichogundua ili Ai ikupe majibu mwanana ni lazima na yenyewe muwe MNAELEWANA,kwa maana uulize maswali au uielezee kwa kueleweka,ukikosea kuuliza inakujibu jinsi ulivyokuja,lakini pia ukitaka ikupe majibu mazuri huwa inapenda kukufahamu wewe,kwasbb tukumbuke hizi Ai kila...
  5. Boutafrica

    JamiiForums Tanzania Hongera Azam TV

    Ligi ya uingereza siyo mihogo ile kwamba ukijiskia tu unanunua,Epl,laliga,Sere A na Uefa hizi ligi huwezi kuzipata kirahisi kama vitasa...mfano Epl ili mtoa maudhui uipate ni lazima kwanza uwe na kitita cha maana,lakini pia kisumbusi chako lazima kiwe kimeenea/kusambaa katika nchi kadhaa siyo...
  6. Boutafrica

    JamiiForums Tanzania Joel Peter kawauliza waislamu na wakristu swali gumu

    Yes inawezekana kabisa tena katika uislam siyo tu kukusamehe bali pia kama wewe uliyeomba masamaha upo serious kweli basi yale mabaya yanageuzwa kuwa mema...Huwa al ghafur al Rahim.
  7. Boutafrica

    JamiiForums Tanzania Joel Peter kawauliza waislamu na wakristu swali gumu

    Mkishashiba mnakaa sasa kumkosoa aliyewaumba....kwanini msijadili kwamba imekuaje uwepo wako hapa Duniani unatamba,unaringa,unarukaruka ila umetokana na shahawa,kimiminika ambacho tone lake moja tu likidondokea kwenye nguo utafanya kila namna kiondoke?
  8. Boutafrica

    JamiiForums Tanzania Kwanini mtu mzima akilala hawezi kuanguka kitandani anapojigeuza

    Pia ukimtazama usoni kwa muda mrefu mtu aliyelala ni lazima aamke...Kweli Mungu mkubwa.
  9. Boutafrica

    JamiiForums Tanzania Jana usiku nime video chat na Cristiano Ronaldo dos Santos Aveiro, 🤯

    Picha ya mchongo
  10. Boutafrica

    JamiiForums Tanzania Update mpya ya WhatsApp kiboko aiseeh, umejaribu lakini?

    Sasa hii si itabidi uanze tena kujitambukisha tena kwa watu wako kwamba unaitwa nani?
  11. Boutafrica

    JamiiForums Tanzania South Africa anaenda kufuzu hatia ya 16 Leo usiku

    Wasauth siyo wa kuwaamini sana mkuu....shida yao kubwa dakika zote wanazichakaza kwenye mipasi kibao,mipasi milioni wakati kuna wajomba wanakupgia pasi 3 tu watu wanahemea kwenye box lako wakufunge.
  12. Boutafrica

    JamiiForums Tanzania Kama ulisikia kuwa NMB wanatoa mkono wa pole kwa mteja akifariki basi ulidanganywa!

    Swali: Je,bank ingefanikiwa kukupatia huo mkono wa pole ungeuweka wazi kwa ndugu zako na wafiwa wengine?
  13. Boutafrica

    JamiiForums Tanzania Niliroga sana

    Moja ya dhambi nzito kwa Mungu muumbaji ni ushirikina,umefanikiwa kuomba toba inshaallah Mungu husamehe haraka sana,hongera ila kikubwa tu usirudie katu hiyo dhambi.
  14. Boutafrica

    JamiiForums Tanzania Kuota upo shule ya msingi

    Kuna ile unaota; Unafanya mtihani drs 7 au frm4 katika ya mtihani unaskia "muda umeisha weka kalamu chini" afu wewe hakuna hta ulichokifanya. AU mnafanya mtihani wa hesabu afu yale maswali hakuna hta hesabu moja unaielewa unaona mchele mchele tu. Pia ipo ile unakimbilia kufanya mtihani then...
Back
Top Bottom