Recent content by Boutafrica

  1. Boutafrica

    Kuna Group FB linaitwa “Mabaharia Sailors SA” la Watanzania waliopo South. Aisee, kila siku matangazo ya mwili unarudishwa Tanzania

    Me nadhan kwa kuna changamoto kubwa watz na wazamiaji wengine wanaipata kwa sasa. 1:Sasa hivi teknolojia iko juu sana,bila shaka technolojia ndo adui mkuu wa mabaharia wengi kwa sasa. SOte tunajua ndg zetu waliozamia 80% wawaliacha shule 2:Mabaharia wengi walikuwa wanaitumia SA kama kituo kidogo...
  2. Boutafrica

    Kuna mtu huwa anaelewa Kingereza cha Nigeria?

    Wahindi English yao haina tofauti na mlio wa pikipiki aina ya Vespa
  3. Boutafrica

    Kuna mtu huwa anaelewa Kingereza cha Nigeria?

    Ile English ya 50 cent aisee...jamaa anaongea utadhani kabwia bakuli la mlenda
  4. Boutafrica

    AI ni mfumo wa kawaida sana na hauna jipya kwa mwenye upeo mkubwa, ila kwa mwenye upeo mdogo wa kufikiri ni mfumo mgeni?

    Hii AI baadae kidogo hata walioajriwa wataanza kulia....Binafsi kwa sasa nimechagua biashara ambao haitatikiswa na AI hapo baadae soon
  5. Boutafrica

    Dunia haieleweki, maisha hayaeleweki

    Ukielewa haya mambo wala hupati taabu na usijue kwanini upo hapa Duniani. Quran tukufu imeshaweka wazi ila ni sisi tu kujizonga na kujitoa akili Qur’an inatufundisha: 1:Tumeumbwa kumuabudu Allah Mungu muumbaji: Surah Adh-Dhariyat (51:56) وَمَا خَلَقْتُ الْجِنَّ وَالْإِنسَ إِلَّا لِيَعْبُدُونِ...
  6. Boutafrica

    Msiteseke kwa ajili ya kesho msioijua

    Life is all about Memories not dreams
  7. Boutafrica

    Kwenye malezi ya watoto hakikisha unawafundisha wanao how to think not what to think

    AI inakusifiaaa afu kuna sehemu inamalizia hivi: ".....Ukipenda ninaweza nikakuonyesha mbinu kali na bora zaidi kuliko hii,mbinu hii ndiyo inayotumika na wataalam,wasomi,wafanyabiashara wakubwa Duniani" by AI.:D Ukisema "Ndiyo",unaletewa jibu na uchambuzi mkali hujawahi kuuskia popote Hapa...
  8. Boutafrica

    Kwenye malezi ya watoto hakikisha unawafundisha wanao how to think not what to think

    Hii AI nadhani tuitumie mahali ambapo umegonga mwamba...shida ni kwamb ukishaingia tu kule nayo inajipambanua balaa kiasi kwamb wewe mwenye hiyo idea unajiona mjinga na hujui chochote.
  9. Boutafrica

    Claude ni chat bot nzuri kuliko ChatGpt, ni swala la muda tu

    Hivi tushawahi kuwaza kwamba ukishakuwa addicted na hizi AI inakuaje?
  10. Boutafrica

    Research; wanawake wenye big butt ,hujifungua watoto wenye akili zaidi.

    Kwenye list yako wazayuni sijawaona japo siwapendi
  11. Boutafrica

    Trend mpya Instagram: Wadada wengi wa mjini wamegeuka washauri wa maisha wakiwa ndani ya magari yao wakirekodi video

    Wengi wao ni: 1:Malaya wanaojiuza na hapo yupo katika kujinadi 2:Wana akili za kimaskini,wanataka kuwaonyesha watu kwamb kuna hatua wamepiga na kwamb wao wapo smart kuliko nyinyi 3:Kuna watu wana watarget kwa malengo yao maalum 4:Wapo wakweli na wanaongea ukwel kwa lengo la kusaidia wengine ila...
Back
Top Bottom