Hongera Azam TV

Hongera Azam TV

Ligi ya uingereza siyo mihogo ile kwamba ukijiskia tu unanunua,Epl,laliga,Sere A na Uefa hizi ligi huwezi kuzipata kirahisi kama vitasa...mfano Epl ili mtoa maudhui uipate ni lazima kwanza uwe na kitita cha maana,lakini pia kisumbusi chako lazima kiwe kimeenea/kusambaa katika nchi kadhaa siyo vinchi vitatu unataka Epl,pia lazima uwe na misuli ya kutikisana na mapapa kama Dstv,canal sports,bein nk,lakini cha mwisho pia uwe na miundombinu isiyoruhusu picha kukatika katika hali yoyote.
Epl ni ya manguli,hawa Azam,Startimes hii wataendelea kuiskia tu japo Azam kiukweli anaelekea huko kwenye unguli japo muda bado kidogo
 
Ligi ya uingereza siyo mihogo ile kwamba ukijiskia tu unanunua,Epl,laliga,Sere A na Uefa hizi ligi huwezi kuzipata kirahisi kama vitasa...mfano Epl ili mtoa maudhui uipate ni lazima kwanza uwe na kitita cha maana,lakini pia kisumbusi chako lazima kiwe kimeenea/kusambaa katika nchi kadhaa siyo vinchi vitatu unataka Epl,pia lazima uwe na misuli ya kutikisana na mapapa kama Dstv,canal sports,bein nk,lakini cha mwisho pia uwe na miundombinu isiyoruhusu picha kukatika katika hali yoyote.
Epl ni ya manguli,hawa Azam,Startimes hii wataendelea kuiskia tu japo Azam kiukweli anaelekea huko kwenye unguli japo muda bado kidogo
ulikuwa hujazaliwa wakati Azam wanaonyesha la liga? Saivi wanaonyesha bundesliga kama sikosei na Serie A. Hiyo Uefa ITV washaonyesha sana miaka ya nyuma kwa hiyo kwa Azam siyo jambo gumu sana kama unavyofikiri.
 
Sahihi kabisa ndugu yangu. 🤝
kuna mwaka niliwasilisha ombi la kutaka kusajili chama cha siasa cha masuriyama,aisee niliwekwa kifungo cha nyumbani na nikinyang'anywa pasipoti ya Tanzania kwa zaidi ya miaka 10 but baadaye walinirudishia japo nilikuwa nasafiri nje ya nchi kwa temporary pass ya ujerumani.Sikuwa nikiwa free ntaiandika hii stori hapa
 
kuna mwaka niliwasilisha ombi la kutaka kusajili chama cha siasa cha masuriyama,aisee niliwekwa kifungo cha nyumbani na nikinyang'anywa pasipoti ya Tanzania kwa zaidi ya miaka 10 but baadaye walinirudishia japo nilikuwa nasafiri nje ya nchi kwa temporary pass ya ujerumani.Sikuwa nikiwa free ntaiandika hii stori hapa
Nalikumbuka like tukio mkuu. Walirudusha sana nyuma jitihada zetu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom