Recent content by BossMan

  1. BossMan

    Asili ya maneno 'Shikamoo' na 'Marahaba' ni utumwa, kwanini tunaendelea kuyatumia?

    Habari ya asubuhi, Habari ya mchana,
  2. BossMan

    Dada zetu mbona mnawapenda sana 'Guys in Uniform'

    Nadhani unashobokewa na Wakurya wenzako.
  3. BossMan

    LHRC yamtaka Dkt. Magufuli kufuta kauli zake

    Libya mapinduzi yalifanyika kwa Vita si sanduku la kura. Mleta mada acha kunywa viroba.
  4. BossMan

    Lowassa anaumwa Parkinson's disease, urais atauwezaje?

    Mleta mada ukiingizwa jando utaacha kuropoka.
  5. BossMan

    Je, Ni wanaume wote wapo hivi?

    Jibu sahihi ni kuwa wanaume wote wapo hivyo nadhani hata mfano unauona kwa baba’ako na kaka zako.
  6. BossMan

    Gari rav 4 inauzwa

    Kama unauza kwa Dola kwanini usiende kuuzia Marekani we -----?
  7. BossMan

    Shilole akutana na Rungu la BASATA, Afungiwa mwaka mmoja kujishughulisha na shughuli za sanaa

    Shilole mama wa watoto wawili bado anakua? Acha uwehu. Kucheza jukwaani matiti yakiwa yamening’inia nje ya sidiria ndio show au ukahaba? mwenye uchungu kwa yeye kufungiwa aende mahakamani. Pia mshaurini aache viroba.
  8. BossMan

    Kwanini watu wakikaa muda mrefu mahusiano yanafifia?

    Jibu ni kuwa katika mapenzi epuka sana mazoea. Kila siku muone mpenzi wako ni mpya na kila siku buni mambo mapya yatakayoimarisha mapenzi yenu. Ukiona mpenzi wa mwenzio kapendeza mpaka unamtamani na wewe mpendezeshe mpenzio na utamuona ni mzuri kuliko wote. Ubunifu ni muhimu sana. Epuka ugomvi...
  9. BossMan

    Wafuasi wa Lowassa wapanga kuzusha fujo kubwa Dodoma

    Eti Lowassa katumia bilioni 50 katika harakati za kutangaza nia. Ulikuwepo kwenye kamati ya matumizi ya bilioni 50? Mbona mnaropoka hivyo? Hivi wewe umeingizwa jando kweli?
  10. BossMan

    Ukishindwa maisha Dar hutoweza popote

    Poa. Tunashukuru kwa taarifa.
  11. BossMan

    Membe, Lowassa, Makamba, Mwigulu OUT! Tano bora hii hapa...

    Mleta mada si kosa lako, ukishaingia jando hautaropoka tena.
  12. BossMan

    Mademu wembamba

    Tunakushukuru kwa taarifa. Mtihani wa FORM IV mnaanza lini?
  13. BossMan

    Mwanamke wa kiislamu agoma kumpa mkono Rais Uhuru kenyatta

    Haya. Tumekusikia. Endelea kumsifia Kenyatta.
  14. BossMan

    Nini kinaendelea kati ya spika na John Mnyika?

    Eti Mnyika hajafanya chochote Ubungo. Duh! Kwani wale waliokaa miaka 45 kabla ya Mnyika walifanya mini? Na kwanini mliwaondoa?
Back
Top Bottom