Recent content by Boss lady

  1. B

    Kesi ya Babu Seya na wanae - Ukweli ni upi haswa?

    So sad, ntakuwa Wa mwisho kuamini hili
  2. B

    Mambo Makuu Yatakayomshangaza Sana Babu Seya

    Kocha Wa arsenal bado ni Wenger
  3. B

    Alieteuliwa na Lipumba akataa uteuzi asema Lipumba si mwanachama

    Kwanza kajifunze kuandika, pia hili jukwaa ni LA GT tu wewe nenda huko chit chat kwenye mipasho
  4. B

    Alieteuliwa na Lipumba akataa uteuzi asema Lipumba si mwanachama

    Embu Acha kuongea ujinga Lipumba alijiuzulu tena aliitisha press conference
  5. B

    Kwanini watu wengi hasa wa Tanzania hatutumii hii fursa ya bure ya kutangaza hapa JF?

    Nimemshawishi baba,baba mdogo,mama wte wapo humu Back to the topic Mimi nauza sana humu tena sana,changamoto iliyopo visitors wa MATANGAZO madogomadogo ni wachache sana
  6. B

    Bf suma

    Bright future superior manufactures of america BF SUMA Makao mkuu California Marekani Tanzania makao makuu yake ni msasani Products zetu ni za asili kwa asilimia 100% Zipo aina ya bidhaa zaidi ya 30 kwa afya ya mwanadamu Kuna bidhaa kwa 1.mfumo WA kinga 2.mifupa 3. Mfumo WA kusaga chakula...
  7. B

    Fahamu kuhusu Pentagram

    Pentagram ni ishara ya nyota encased katika mduara. Daima na pointi 5 (moja akizungumzia zaidi), kila mmoja ana maana yake mwenyewe. Hatua zaidi ya nyota ni mwakilishi wa roho. Pointi wengine wanne zote kuwakilisha kipengele; ardhi, hewa, moto, na maji. Mambo haya yote kuchangia maisha na ni...
  8. B

    Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

    Si kila kitokacho mdomoni hutoka moyoni, "money by all means" sikuwa namaanisha kwenye mapenzi panahitaji pesa big NO
  9. B

    Mrudishe mahabuba ngamani

    Dah mshana jr upo vzr
  10. B

    Huyu dada nimfanye nini wadau?

    Toa uchafu huo, wadada weng wakiwa kitengo huwa wananyodo sana
  11. B

    Nimemfuma anapika chakula akiwa uchi jikoni

    Kwani anavyokuhudumia kitandani anakuwaga na nguo? Kaamua na kukupikia akupikie uchi
Back
Top Bottom