roservelt
JF-Expert Member
- Aug 31, 2016
- 1,418
- 1,510
Mkuuu naomba unitumie audio zake please..Martin Luther King ni mmoja ya watu ninao waheshimu sana duniani. nawaheshimu sana. wapo watu kadhaa wasiozid 5 ninaowaheshimu sana. sana duniani. and this man is one of them. ukisikiliza speeches zake yu will discover he was an orator, he was the speaker and the speech himself aliongea toka moyoni kwa kile alichoamini. ukisikiliza i have a dream, au i have been to the mountain top, utanielewa. mimi nina audios zake zote. the man alikuwa akihubiri upendo na alifanya upendo.
kibinadamu alikuwa na mapungufu yake lakini yasingeweza kuficha mazuri yake. hakuwa mtakatifu lakini alihusika kwa kiasi kikubwa kuibadilisha dunia ya leo. ni mmoja kati ya watu wenye akili sana na mwanamapinduzi.