Recent content by BOSCO OJA

  1. B

    Halotel wameishiwa Pumzi kwenye internet

    Hapa Madaba wapo vema kushonda wengine woooote!! Halotel fureshiiiiii
  2. B

    Udongo mfinyanzi kutoka Rwanda

    Kuna memba humu kitambo HV aliwahi sema hao mliowaleta Ruvu cha mtoto!! Jamaa alideki na kuanika WK nzima, sijui km ni kweli!!
  3. B

    Vijana wa Dar na Vibegi mgongoni

    Siku hz ni fashion, ujanja/udenti ukamilike lazima begi mgongoni. Sasa umkute alibeba hilo chini kavaa suali ya jinsi kalegeza matakoni, utachoka!! Mkikutana ghafla kabla ya salamu anapandisha kwanza suluari usione sijui ni chupi/boxer/jezi/kaptura. Yaani SHIDA.
  4. B

    Tupia hapa kitabu kinachoweza kusaidia wajasiriamali na watafutaji

    Hongera sana Busara Zangu. Hii Maneno napendaga. Vijana Someni vitabu acheni muda kuwaza mapenzi tuuuu!!
  5. B

    Nimemtongoza tangu Mwezi wa 4 mwaka huu, hadi leo hola

    Ndio nchi ya viwanda hii, Umalaya tu!! Fanyeni kazi!!
  6. B

    Ma-TO wawili katika mtihani mmoja Japhet S John na Aude G Kileo

    Mnenikumbusha jamaa yangu alienda soma Alevel Ilboru 1996, nami nilienda Songea boys, aliporejea likizo alikuwa akivaa tshirt yake ya Ilboru SEC Daily Ili apate ujiko, dah alisumbua sana. Lkn sasa kila mmoja anapambana na hali yake.
  7. B

    Mama Mkwe wa rafiki yangu ananitaka kimapenzi. Nimemwambia jamaa yangu ushauri wake...

    Siku nyingine Punguza maneno. Ulivyoelekeza wakisoma wahusika atajulikana. Utakuwa umeharibu. Summary u kwamba..... Au sio!!!
  8. B

    Mama Mkwe wa rafiki yangu ananitaka kimapenzi. Nimemwambia jamaa yangu ushauri wake...

    Vijana mna shida sana. Vitu vingine si vya kuomba ushauri. Kujiongeza tu. Zamani ukiambiwa ukidu na mtu mzima unaungua, siku hzwote sawa tu.
  9. B

    Nimepanga kutomgusa mke wangu kimwili

    Udhaifu, yangekuwa mazuri
  10. B

    Nimepanga kutomgusa mke wangu kimwili

    Ufhaifu huo!! Huyo mkeo angekuwa wangu siku moja tu kwa maneno hayo, pale anasema angekutana na KERUBU moja ya kweli sana, Hatimaye angealika na nduguze Kuja kuomba msamaha. Maisha angekuwa sana mbeleni. Jeans tena!!!
  11. B

    Tofauti ya Leonidas Gama na Kleist Sykes ni hii hapa

    Wakati nasubiri wachangiaji, Gama ni Mbunge wangu, so nilichangia mapema asubuhi. Nafikiri pia Gama amefariki akiwa madarakani na mwenzake akiwa mtaani, so Gama madaraka yamemfanya A sound zaidi.
  12. B

    Muswada mfuko mpya hifadhi ya jamii, umebeba mambo mazito

    Kwa uzoefu wangu wa kingumbaro najua msaada ukishaandikwa una Nia na malengo yake, wah Wabunge watapewa Semina nyingi kuhusu hili na kama kawaida watapitisha. Watumishi Wataumia. Ningeshauri suala hili Kuachwa tu km ilivyo sasa. Walemavu wametajwa sijaelewa why, kwa vile Ni wachache??
  13. B

    TANZIA: Mbunge wa Songea Mjini, Leonidas Gama(CCM) afariki dunia

    Kuna Diwani mmoja kasema amesema Marehemu ametoka India siku za karibuni sana kwa matibabu,
  14. B

    Nahitaji kumuoa Babe Kabae wa Clouds Tv kwma bado yupo single

    Jamaa kashindwa himili. Mpeni no apambane Naye nafasi yake Italië kwa majibu yoyote atakayopewa. Sio shida.
Back
Top Bottom