hahaahahahhahahaahNa Tuliondoka saa 9 alfajiri
Halafu kwake vyuma lainiiiiiiIla Magu Mungu anakuona ujue
hali inazidi kuwa tetehalafu mission town inagoma
hapo hata maji hamnywi kabisa
kila mtu anakula kona
hahahaahhaahaSi wanasema ukikazana kunywa hayo utakuwa Kama Yule muigizaji maarufu bongo muvi
hongera mkuunilifanya mazoezi kipindi cha nyuma hivyo kwa sasa kukaa bar bila bia haisumbui japo mwanzo jamaa hawakunielewa nilipoamua kuacha pombe kutokana na changamoto zilizokuwa zinanikabili. kwa sasa hatuulizani.
kwa ufupi nimepata furaha sana kicheko zaidi watu waliondoka saa tisa usiku
asante haikuwa rahisi ila ilibidi kwa kuwa washikaji walianza kunitenga hata kabla sijawaomba offer nikaona isiwe tabu nikaanza kwa kunywa bar tofauti tofauti kisha nyumbani,baada ya hapo nakunywa na mtu ninayemweshimu sana baadaye nikaacha jumla kwa kweli namshukuru MUNGU. ila bar nakwenda na sioni tabu kutoa round japo mimi nitabaki na maji au substitute zingine.hongera mkuu
Kuna taarifa umeiona humu JamiiForums na haifai kubaki mtandaoni?
Fanya hivi...
Unapata ugumu kuikumbuka akaunti yako? Unakwama kuanzisha akaunti?
Contact us
Thread starter | Title | Forum | Replies | Date |
---|---|---|---|---|
![]() |
Vyuma vya Africa | Jamii Photos | 4 | |
![]() |
Vyuma vimekaza hadi kwa mafreemasonry, wanakoswa pesa za kuweka matangazo kwenye Bilboards | Jamii Photos | 11 | |
![]() |
Vyuma ngangangaa | Jamii Photos | 27 | |
![]() |
Dawa ya vyuma kuachia imepatikana | Jamii Photos | 8 | |
![]() |
Kabla ya vyuma kukazana sana. | Jamii Photos | 12 |