Wakuu nilipata placement udsm kwenye pdf ya tarehe 1 mwezi wa saba,kama kawaida huwa wanatoa siku 14 za kuripoti,hatimaye nikaenda kuripoti tarehe 8 ya mwezi wa saba,kisha baada ya hapo nikaambiwa nitapigiwa simu ndani ya wiki tatu lakini mpaka hivi leo naona kimya,je inakuwaje wakuu maana naona...
Wakuu nahitaji kujua location ya ofisi ya psrs dodoma Kwa ajili ya oral interview,maana kwenye Google map,naona ofisi zipo mbili moja ipo udom karibu na college ya cbsl na nyingine ipo karibu na mlimwa primary school
Wakuu naomba msaada wenu wa kuainisha maswali yanayotoka sana katika interview ya oral na written Kwa kada ya Maabara(exclude medical laboratory)level ya diploma.
Kuhusu Kwa binadamu iko wazi kwamba Sheria ipo na utaratibu unafanya kazi, lakini Kwa mifugo utaratibu kuhusu swala la kitabibu haufatwi kabisa naongea hivi nikimaanisha Kwa mfano hivi ungejisikiaje
ukiwa unaumwa ugonjwa serious mfano malaria halafu haupimwi wala nini halafu unapewa labda Dawa...
Tanzania ni miongoni mwa nchi tano bora zinazoongoza kwa kuwa na mifugo mingi barani Afrika.
Hivo kuchangia mojamoja katika ukuzaji wa uchumi kupitia mazao mbalimbali yatokanayo na mifugo kama vile: maziwa, nyama na ngozi.
Hivo basi ili mradi uzalishaji upate kushamiri ni muhimu vitu vya...
Kikubwa ishu ambayo madogo walikuwa wanakuwa informed kwa kupigiwa simu ni ishu ya majina kutofauti katika baadhi ya vyeti,mfano unakuta majina ya cheti Cha kuzaliwa na form four hayafanani na kwenye nida,kwa hiyo wiki waliripoti kwenye vikosi vyao husika na kupewa utaratibu wa namna ya kufanya...
Hizi taarifa zisiwape presha sana ambao mmefanya usaili ,mara ya Kwanza ,mnachotakiwa kujua ni kwamba majina yenu yashaenda makao makuu ila ni kwa watu waliokidhi vigezo peke ake
Na kuhusu huu usaili wa mara ya pili wa kimya kimya ni kwamba sababu ambayo hataki kusema huyu dogo
RmrNobody ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.