ACACIA wanatupiga, mchanga una asilimia tano na tisini na tano inabaki migodini CCM walisign hii mikataba ACACIA wakaimiliki kwa mujibu wa sheria, sasa tundulisu mnamvua nguo kivipi au mnata kusema tundulissu alisignisha hii mikataba.
Na ndio maana CCM wanapoteza mvuto ni kwa sababu hiyo hiyo ya kwamba wananchi wanasikia na kupima mambo, nakupa mfano mdogo juzi tu lissu kaongelea issue ya mchanga kuanzia maana ya mikataba ya madini, na sheria zake, madhara ya alichokifanya mkuu, hasara tunayoipata na tufanye nini ili...
Kaka Msigwa hawezi kukosea? kwani ni lazima kila anachokiongea mpinzani kiwe sahihi, mbunge wa CCM anaweza kupinga hili kwa hoja na upinzan pia, kama atakosea CCM ata mpinzani anaweza kukosea issue ni kupima faida na hasara na kuleta ushauri mezani, point yangu ni wabunge wengi wa upinzani kupuuzwa.
"Ninapo wapa wasiojiweza na kuwasaidia wahitaji moyo wangu unajisikia vizuri lakini ninapotenda jambo baya au kumfanyia mtu baya nafsi yangu hunisuta na kuomba msamaha ikibidi, hiyo ndiyo Dini Yangu" Abraham Lincoln
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.