Nilikuwa nawakubali saana Wa Sauzi ila katika hili nimeanza kuwaona Vilaza
Yani afazali wange wafanyia vurungu wazungu kidoogo ninge waelewa
Nilichogundua Wa sauzi waneanza kujiona black amerika
Sababu ya maendeleo waliyo nayo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.