Recent content by Borakuyumba

  1. B

    The brutal death of Emmanuel Sithole

    eltontz Aiseeee!! Hawa jamaa ni mashetani watu
  2. B

    The brutal death of Emmanuel Sithole

    Adhabu yao anayo mwenyez mungu
  3. B

    Wakenya wavamia Tanzania

    Uzembe Waliingiaje bila kutambulika
  4. B

    Ujumbe kwa wanaJamiiForums wote

    Mwisho utatuambia kila mkoa kuwe na ofic za wana Jf
  5. B

    Kwanini Watanzania na Tanzania ni masikini pamoja na rasilimali (resources) tulizonazo?

    Hiki chama cha Kijani Kinafanya hii nchi shamba la Bibi wamejisahau kabisa Kila anaeingia madarakani anaona kama karisishwa mali na baba yake.
  6. B

    Nipo South Africa hapa Hakukaliki

    Nilikuwa nawakubali saana Wa Sauzi ila katika hili nimeanza kuwaona Vilaza Yani afazali wange wafanyia vurungu wazungu kidoogo ninge waelewa Nilichogundua Wa sauzi waneanza kujiona black amerika Sababu ya maendeleo waliyo nayo.
  7. B

    Kwanini Madrasa za Waislam zinafungwa?

    Wanadai hakija sajiliwa kisheria ni kituo ki1 kilicho fungwa
  8. B

    Jamani tumsikilize mtabiri huyu

    Lamsingi ni Kuongeza maombi tu
  9. B

    Gwajima apandishwa Mahakamani Kisutu; aachiwa kwa dhamana na kesi kupigwa kalenda!

    Akitoka hapo Sero ((Mung'anda)) mpaka jumaa tatuuuu Kova sio mtu mzuri
Back
Top Bottom