Ujumbe kwa wanaJamiiForums wote

Ujumbe kwa wanaJamiiForums wote

Nipo naelekea taifa kuwapa nguvu mahasim wetu kwakuwa mm nimsambaza UZALENDO sipaswa kuweka upinzan kwa wawakilishi pekee afrika mashariki yanga
 
Habari ndugu wote!!! jamani naomba kila mwana JF aweze kutoa taarifa za mambo yanaotokea au kufanyika mahali ulipo.

Pia muhimu wanaJF walio karibu kufahamiana ili kutoa habari na kujulishana kama kuna tukio mahali.

Mfano: Mimi nipo Kilombero kwa hiyo, ni vema tukajuana, na wengne pia.

NATOA MAONI

Hapa nilipo kuna watoto wanacheza mpira, wakati huohuo mimi nacomment kwenye hii thread, sio hivyo tu hapa nimekaa kwenye kiti cha plastic na hali ya hewa ni ya mawingu kuashiria mvua itashuka muda wowote.

Nilisahau hapa nilipo nimevaa vyema, na pia napumua bila tatizo.

Ntazidi kuwajuza kinachoendelea jamani
 
Habari ndugu wote!!! jamani naomba kila mwana JF aweze kutoa taarifa za mambo yanaotokea au kufanyika mahali ulipo.

Pia muhimu wanaJF walio karibu kufahamiana ili kutoa habari na kujulishana kama kuna tukio mahali.

Mfano: Mimi nipo Kilombero kwa hiyo, ni vema tukajuana, na wengne pia.

NATOA MAONI

Therad nyingine umeanzisha unataka uwashauri watu masuala ya mahusiano PM....hapa unataka tujuane physically ....
Unajua maana ya hizi fake ID humu jf?
 
Mie nipo home nipo online nasoma article kwenye Citizen Newspaper yenye kichwa cha habari My life is in danger-Mengi.
 
nipo zangu nungwi hapa naogelea kuelekea pemba
 
Niko hapa Baracuda Tabata..gari yangu imezima baada ya kuingia maji kwenye mfumo wa umeme.Kuna mvua kubwa saana.
 
Habari ndugu wote!!! jamani naomba kila mwana JF aweze kutoa taarifa za mambo yanaotokea au kufanyika mahali ulipo.

Pia muhimu wanaJF walio karibu kufahamiana ili kutoa habari na kujulishana kama kuna tukio mahali.

Mfano: Mimi nipo Kilombero kwa hiyo, ni vema tukajuana, na wengne pia.

NATOA MAONI

Unatafuta mke?
 
niko Mbeya hapa naelekea kucheki match ya Simba na Mbey city nimevaa jezi ya Simba
 
nipo dodoma uwanja wa jamhuri kwenye mkutano wa mchungaji mwakasege.karibuni tujifunze maagano ya mungu!
 
Aiseee.
Mie nipo hapa kwenye huu uzi nacheki comment za wadau,yani mbavu sina kwi!kwi!
 
Mleta mada wazo lako ni zuri na limejaa ulokole lkn jaribu kuangalia ID zetu kama vp shauri ubatizo mpya majina mapya
 
Mie nipo home nipo online nasoma article kwenye Citizen Newspaper yenye kichwa cha habari My life is in danger-Mengi.

Hii article yako imetokana na utunzi wa kubenea wa chadema.
 
Back
Top Bottom