Miji inayoongoza kwa Uchafu Tanzania

Miji inayoongoza kwa Uchafu Tanzania

Tumia akili, mwarabu ametawala Afrika Mashariki, Tanganyika ikiwemo, utawala wa kisultan wa kiarabu colony lake lilikuwa kuanzia Muscat-Oman visiwa vya pemba na unguja na mwambao wa Afrika masharik miles 16 kuingia ndan kutoka usawa wa bahari. Hawakudili sana na bara. Hivyo pwani kwa asilimia kubwa ilikuwa chini ya Oman Sultanate Regime, kwenye miji kama Kilwa, Mikindan, B'moyo, Pangan, Tanga, Z'bar ndo ilikuwa ngome zao. Acha kusifia kila jambo kutoka kwa waraabu kwakuwa wewe ni mfuga madevu, pumb.v.u!

Huyo jamaa history ilimpita pembeni
 
Mji wa morogoro ni mchafu manispaa ina kula rushwa tu haina plan za kuendeleza mji namuonea huruma meya anahangaika hapati ushirikiano wa watendaji stupid municipal
 
Tumia akili mwarabu hajatawala Tanganyika,mtawala alikuwa mjerumani,akamwachia mngereza,mwarabu alikuwa ni raia wa kawaida tena mgeni.Mtawala ndio wa kulaumiwa ikiwa kuna tatizo katka miji.

Acha kupenyeza udini kwa kila jambo wewe!! Changia mada kwa kufuata maudhui yake. Mji unaoongoza kwa uchafu ni Dar. Arusha pia ni miongoni mwa miji michafu sana hapa Tz. Mleta mada inaelekea hajatembelea Arusha siku za karibuni.
 
Tumia akili mwarabu hajatawala Tanganyika,mtawala alikuwa mjerumani,akamwachia mngereza,mwarabu alikuwa ni raia wa kawaida tena mgeni.Mtawala ndio wa kulaumiwa ikiwa kuna tatizo katka miji.

We mswaha usikubali kudanganywa na elimu nje ya elimu dunia. Zile elimu za......mnapotoshwa. Muarabu alitangulia kabla ya Mreno, mjerumani na muingereza .

Basi jaribu kuangalia miji waliokaa hao jamaa zako waarabu halafu uje hapa utuambie namna ilivyo formless na full uchafu!
 
Acha kupenyeza udini kwa kila jambo wewe!! Changia mada kwa kufuata maudhui yake. Mji unaoongoza kwa uchafu ni Dar. Arusha pia ni miongoni mwa miji michafu sana hapa Tz. Mleta mada inaelekea hajatembelea Arusha siku za karibuni.
Arusha nimetembelea. Japo cvifahamu sana vitongoji vyake ila kuna ule mtaa wenye nyumba za madongo kuinama hapana aisee. Mbaya zaid ni yale mabwawa ya vinyesi mmmh! Hivi wakaz wa pale wana mapua gani magumu na yasiyockia harufu? Mbaya zaidi ni lile tope!!
 
Salaam
Nchini Tanzania si ajabu kusikia mashindano ya usafi wa miji na Moshi, Arusha na Mwanza imekuwa ikiibuka kidedea japo kuna vitongoji ni vichafu ajabu.

Mfano mji wa Ifakara maeneo ya mjini ni kuchafu usipime na wakazi hawajari ataa! Uchafu ni asili ya mtu mf jamii zilizokuwa chini ya himaya ya waarabu zimerithi uchafu na ujenzi usio na mpangilio.

Chukulia mfano miji kama Ujiji ni slums na uchafu tuuu na mabadiliko nimagumu kuonekana!

So ajabu kukatizia ktk kichochoro Fulani ukajikuta unatokezea chooni huku ulijua ni njia inayokupeleka uendako!

Tuitaje miji inayoongoza kwa uchafu Tanzania na tushauri nini kifanyike kuiboresha.
Dar es Salaam inashika number one lol!
 
Miji na Majiji yote machafu nchini, lakini yote tisa kumi ni Dar, sasa inyeshe mvua! Hata kutembea nje unaona kinyaa. Sijui itakuwa ni Jiji la ngapi kwa uchafu katika Afrika na duniani.

Miji karibu yote tz michafu
 

Attachments

  • 1429364210915.jpg
    1429364210915.jpg
    4.8 KB · Views: 321
  • 1429364232278.jpg
    1429364232278.jpg
    4.4 KB · Views: 321
  • 1429364253795.jpg
    1429364253795.jpg
    5.3 KB · Views: 321
Back
Top Bottom