Ndugu, Katika pitapita zangu za youtube nimekutana na kazi ya Mtanzania mmoja kwenye mambo ya filamu fupi yaani SHORT-FILM kwa kizungu, nikaona ni vyema niweke hapa ili na nyinyi mpate fursa ya kuiona.
Kwa kweli amejitahidi sijui nyinyi mnaonaje? sio vibaya kusupport vya kwetu kivyetu.
B.
Jana nilikuwa naangalia show ya BET nikaona Dwight Howard will tour africa, and during the conversation statement he mentioned TANZANIA 5x, now amesema kwamba anakuja kujenga shule, Swali ni kwamba hii shule itakuwa ina-m-benefit nani haswa?, itajengwa wapi?, na msimamizi atakuwa nani? maana we...
Calling names wont solve the issue here brother, Once again I spoke my mind and stated what I know, If in-case i was wrong then it is obvious suala la kiungwana ku-elimishana but not to bring your booliness to the wrong facts stated, I never mentioned that I'm a pro or anything closer to that, I...
Brother,
I don't even know why You are flaming my POST while I was speaking from My personal Experience!.
I cannot advice anyone something that I, and only I think that it aint worth my change!. So speaking of My experience that is what i thought was the best.
almost 95% of computer generated...
Hii Yote inategemea na mfuko wa mtu, kila ukiamka kuna technology mpya inazaliwa, kwa hiyo kama vipi get the cheaper but then again a user friendly TV kwa mfano Samsung, Vizio, Sony au Sharp (aqua).
LED, LCD au Plasma hapa pia inategemea matumizi ya MTU, kama wewe unatumia TV 6 to 14hrs/Day...
Naulizwa swali,
Kuna mtu yeyote ambae ame-OC PC yake?, kwenye Windows OS PC nilijaribu ku-OC mara ya kwanza ikanipa shida, sometimes ina fail ku-boot na mwishoe nikaunguza CPU,
Sasa nilikuwa nataka kujua kama kuna mtu ambae amefuzu kwenye OC nataka kuulizwa maswali kadhaa juu ya voltages...
Get Toyota Brand Instead!.., Kama mdau aliyetangulia alivyosema "Water Finds its own Level, kama ni Level yako Basi Ingia"... Ila kama ndio unaanza!, Deal na Toyota Kwanza wanachoice nyingi za offroad na very comfortable and less costly to maintain unlike Ranger Rover.
Na kama unakwenda na RR...
Ahahah, Dah, Naona watu wanazidi Kutokomeaaa!...
Ughaibuni 1 - Bongo 0, Game bado Linaendelea Dakika ya 60, Goal Keeper wa Wa-Wapiga Box amedaka Mpira uliopigwa na Mchimba chumvi kutoka Mbagala!...
Mpira Unaendelea....
Bongo wamegoma kurudi, Na Haturudi kweli, Bongo ni kwa Kujenga kwanza na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.