Recent content by BooSt3D

  1. BooSt3D

    Climax Short Film - a Must Watch

    Ndugu, Katika pitapita zangu za youtube nimekutana na kazi ya Mtanzania mmoja kwenye mambo ya filamu fupi yaani SHORT-FILM kwa kizungu, nikaona ni vyema niweke hapa ili na nyinyi mpate fursa ya kuiona. Kwa kweli amejitahidi sijui nyinyi mnaonaje? sio vibaya kusupport vya kwetu kivyetu. B.
  2. BooSt3D

    Majibu kwa Nape, Ridhiwan Kikwete na wengine kuhusu elimu yangu na niliposoma

    Jiti kwa kujieleza, fisi kwa mpangilio mzima!. B/
  3. BooSt3D

    Jay-Z & Kanye West - Otis "Auctioned Maybach" + Dwight Howard => East Africa, Tanzania

    Jana nilikuwa naangalia show ya BET nikaona Dwight Howard will tour africa, and during the conversation statement he mentioned TANZANIA 5x, now amesema kwamba anakuja kujenga shule, Swali ni kwamba hii shule itakuwa ina-m-benefit nani haswa?, itajengwa wapi?, na msimamizi atakuwa nani? maana we...
  4. BooSt3D

    PICHA: CHADEMA 'wauteka' mji wa Arusha

    Dah, CHADEMA wana nguvu sana, CCM wakiona hivi wanaleta FFU!..
  5. BooSt3D

    Rihanna on Love.

    ni *Ri ... Baba..
  6. BooSt3D

    Hawa Jamaa United Builders Limited

    Kuna mtu anawafahamu?, Nahitaji information kuhusu ufanisi wa kazi yao. Asante, BOoSt3D.
  7. BooSt3D

    Plasma TV au LCD TV

    Calling names wont solve the issue here brother, Once again I spoke my mind and stated what I know, If in-case i was wrong then it is obvious suala la kiungwana ku-elimishana but not to bring your booliness to the wrong facts stated, I never mentioned that I'm a pro or anything closer to that, I...
  8. BooSt3D

    Plasma TV au LCD TV

    Brother, I don't even know why You are flaming my POST while I was speaking from My personal Experience!. I cannot advice anyone something that I, and only I think that it aint worth my change!. So speaking of My experience that is what i thought was the best. almost 95% of computer generated...
  9. BooSt3D

    Plasma TV au LCD TV

    Hii Yote inategemea na mfuko wa mtu, kila ukiamka kuna technology mpya inazaliwa, kwa hiyo kama vipi get the cheaper but then again a user friendly TV kwa mfano Samsung, Vizio, Sony au Sharp (aqua). LED, LCD au Plasma hapa pia inategemea matumizi ya MTU, kama wewe unatumia TV 6 to 14hrs/Day...
  10. BooSt3D

    Oc: Any over-clockers!?

    Naulizwa swali, Kuna mtu yeyote ambae ame-OC PC yake?, kwenye Windows OS PC nilijaribu ku-OC mara ya kwanza ikanipa shida, sometimes ina fail ku-boot na mwishoe nikaunguza CPU, Sasa nilikuwa nataka kujua kama kuna mtu ambae amefuzu kwenye OC nataka kuulizwa maswali kadhaa juu ya voltages...
  11. BooSt3D

    RANGE ROVER 4.6 HSE: Hii VIPI?

    Get Toyota Brand Instead!.., Kama mdau aliyetangulia alivyosema "Water Finds its own Level, kama ni Level yako Basi Ingia"... Ila kama ndio unaanza!, Deal na Toyota Kwanza wanachoice nyingi za offroad na very comfortable and less costly to maintain unlike Ranger Rover. Na kama unakwenda na RR...
  12. BooSt3D

    Kevin Twisa, mfano wa kuigwa

    Ahahah, Dah, Naona watu wanazidi Kutokomeaaa!... Ughaibuni 1 - Bongo 0, Game bado Linaendelea Dakika ya 60, Goal Keeper wa Wa-Wapiga Box amedaka Mpira uliopigwa na Mchimba chumvi kutoka Mbagala!... Mpira Unaendelea.... Bongo wamegoma kurudi, Na Haturudi kweli, Bongo ni kwa Kujenga kwanza na...
  13. BooSt3D

    Afya za mastaa wa bongo fleva!

    Mchango Wangu, Prof J Matonya AY Joycelene Keisha Kassim "Awena" QChief ..... B.
  14. BooSt3D

    Kevin Twisa, mfano wa kuigwa

    Jamaa alikosa VISA, naona sasa ana-back-faya!... Haya Bana!, Box nabeba na Home najenga, Unajiita Malenga, Kwenu Umeshajenga!?, So Long, B.
Back
Top Bottom