RANGE ROVER 4.6 HSE: Hii VIPI?

Amoeba

JF-Expert Member
Aug 20, 2009
3,289
781
Toka zamani napenda Gari za Land Rover, nna mpango wa kununua usafiri wa offroading.Lakini kabla sijaingia mkenge naimani naweza kupata elimu hapa JF. Vp kuhusu range rover 4.6 hse, any common clonic and costly problems? kwa yeyote mwenye uzoefu nayo naomba anifumbue macho tafadhali, nikinunua ya mwaka 98-2000, cc4600 vp?
nitashukuru sana wakuu kwa ushauri wowote.
 
LOL

Mkuu karibu katika Club.
- The most highly sophiscated and comfortable 4WD combining Luxury and Off Road Driving
- High Fuel Consumption but good Performance particular on Safari
- Hakuna kupiga nyundo Mkuu, mambo yote CMC, spares exremely expensive and no Fabrications
- Commands Class and Respect. Everyboady looks at you on the Road.

Ushauri: Water finds its own level. If it is your level, go for it.

maelezo zaidi unaweza kuuliza tu!
 
land-rover-range-rover-with-air-bag-suspension.jpg
 
Kwa nini usinunue escudo(make na hiyo ni offroad bomba sana) then hiyo hela ya ziada na ya wese ukasaidia kusomesha mtoto wa maskini 1? Tusaidiane kupambana na umaskini jamani sio kupambana na respect barabarani.

Ni wazo tu.
 
kwa nini usinunue escudo(make na hiyo ni offroad bomba sana) then hiyo hela ya ziada na ya wese ukasaidia kusomesha mtoto wa maskini 1? Tusaidiane kupambana na umaskini jamani sio kupambana na respect barabarani.

Ni wazo tu.

smh!!
 
Kwa nini usinunue escudo(make na hiyo ni offroad bomba sana) then hiyo hela ya ziada na ya wese ukasaidia kusomesha mtoto wa maskini 1? Tusaidiane kupambana na umaskini jamani sio kupambana na respect barabarani.

Ni wazo tu.

Mkuu.... kila mtu anapanga na kuchagua how to use their money...mwingine atataka Escudo...mwingine beetle/kobe..mwingine atataka corolla mradi ni uwezo na uchaguzi wa mtu.

Ukiuliza kwanini ..hakuna jibu rahisi ndugu.Labda swali kama hili tungeuliza wenye kutumia pesa ya kodi za wananchi kununulia magari makubwa ya gharama kubwa kuendesha na kutengeneza.
 
Mkuu.... kila mtu anapanga na kuchagua how to use their money...mwingine atataka Escudo...mwingine beetle/kobe..mwingine atataka corolla mradi ni uwezo na uchaguzi wa mtu.

Ukiuliza kwanini ..hakuna jibu rahisi ndugu.Labda swali kama hili tungeuliza wenye kutumia pesa ya kodi za wananchi kununulia magari makubwa ya gharama kubwa kuendesha na kutengeneza.

Roho/akili hizi hizi ndo zimekaa maofisini zikiamua magari gani ya serikali yanunuliwe. Kwa hiyo basi, m2 kama huyu anayetaka kununua rangerover wakt akijua kuna watz wenzake wanataabika, hana tofauti na yule anayenunua magari ya thamani ya serikali huku walipakodi wakila vumbi. Am sorry Amoeba, lakini napata feeling kwamba hata wewe 2kikuweka ofisini utakimbilia kununua hayo ma-offroad!!

Ni mtazamo tu, i stand 2 be corrected
 
LOL

Mkuu karibu katika Club.
- The most highly sophiscated and comfortable 4WD combining Luxury and Off Road Driving
- High Fuel Consumption but good Performance particular on Safari
- Hakuna kupiga nyundo Mkuu, mambo yote CMC, spares exremely expensive and no Fabrications
- Commands Class and Respect. Everyboady looks at you on the Road.

Ushauri: Water finds its own level. If it is your level, go for it.

maelezo zaidi unaweza kuuliza tu!

Mkuu Superman,

Asante kwa mchango wako na ushauri wako mzuri. Ni kwamba some two years ago na mimi nilichemka kutaka kukunua hiyo RR lakini ilibidi kwanza nikamuulize fundi wangu anipe mawazo yake. Kwa kweli aliniambia kama ulivyosema hapo na akaniambia hayo magari yanasumbua sana hasa upande wa spare parts kwani mtaani hazipatikani ukitaka mpaka uende CMC na huko unagongwa bei chafu kupita kiasi. Hapo hatujazungumzia kiwese!!!!

Mimi nisingekushauri ununue hiyo kitu lakini inategemea economic base yako ikoje. Kupanga ni kuchagua lakini, uamuzi unao wewe.

Tiba
 
Get Toyota Brand Instead!.., Kama mdau aliyetangulia alivyosema "Water Finds its own Level, kama ni Level yako Basi Ingia"... Ila kama ndio unaanza!, Deal na Toyota Kwanza wanachoice nyingi za offroad na very comfortable and less costly to maintain unlike Ranger Rover.

Na kama unakwenda na RR basi get something better than 2000's models maana hizo zimeshachange a while back, at least 03-06 in that range itakuwa poa zaidi.

96-02

i842_33393360017large.jpg


03 - Now!

i843_santaanna.jpg


Not to Bring Personal life Hapa, but here it is My 1st Love.....was just like,

i844_zamani.jpg


Mtazamo wangu tuu,

B.
 
kwanza niseme tu asante sana super man, na nimekugongea haki yako kama kawaida. pia shukrani kwa wadau wote walioonesha concern, pamoja na kuwa wengine hawakunielewa vizuri. Mm siyo fisadi na wala sifanyi kazi serikalini, ni mjasiriamali mdogo sana tu. ila niliposema RR nilimaanisha 4.6 HSE, wala siyo VOGUE (sijawa na mil80 ya kununua gari!). Kutokana na kazi zangu naenda sana shamba, pia naenda sana crossborder, hivyo nahitaji gari ambayo ina pull kubwa, confotable pia tofauti kidogo ofcz!. Pamoja na majibu mazuri ya wakuu, bado nimebaki njiapanda, sijapata sgstions kwamba unaonaje khs gari hii, au hii. Toyota sawa, lakini toyota gani? nataka kitu tofauti kidogo wazee, hata kama ni toyota. Najua hapa hapa kuna watu watasababisha nifikie uamuzi wa busara na kupata gari nzuri tu. Pia kuna mdau alinidokeza kuhusu Jeep Grand Cherokee, mwingine akasema Toyota JL lakini nikaona bei za JL hazishikiki. Heshima mbele kama kawaida wazee

Naipenda tanzania ndy maana bado nipo bongo, kilimo kwanza.
 
kwanza niseme tu asante sana super man, na nimekugongea haki yako kama kawaida. pia shukrani kwa wadau wote walioonesha concern, pamoja na kuwa wengine hawakunielewa vizuri. Mm siyo fisadi na wala sifanyi kazi serikalini, ni mjasiriamali mdogo sana tu. ila niliposema RR nilimaanisha 4.6 HSE, wala siyo VOGUE (sijawa na mil80 ya kununua gari!). Kutokana na kazi zangu naenda sana shamba, pia naenda sana crossborder, hivyo nahitaji gari ambayo ina pull kubwa, confotable pia tofauti kidogo ofcz!. Pamoja na majibu mazuri ya wakuu, bado nimebaki njiapanda, sijapata sgstions kwamba unaonaje khs gari hii, au hii. Toyota sawa, lakini toyota gani? nataka kitu tofauti kidogo wazee, hata kama ni toyota. Najua hapa hapa kuna watu watasababisha nifikie uamuzi wa busara na kupata gari nzuri tu. Pia kuna mdau alinidokeza kuhusu Jeep Grand Cherokee, mwingine akasema Toyota JL lakini nikaona bei za JL hazishikiki. Heshima mbele kama kawaida wazee

Naipenda tanzania ndy maana bado nipo bongo, kilimo kwanza.

seems una hela za mawazo ushauri usibuy hizo unazotaka otherwise daily utakuwa unasababisha jam barabarani kwa kuishiwa mafuta, kama shamba nenda for cruiser mkonge au nissan patrol dume zitakufaa,au hilux 2.8 its okay,othewise utaumia kama unaweka mafuta ya kupima 5000,duh!!
 
Roho/akili hizi hizi ndo zimekaa maofisini zikiamua magari gani ya serikali yanunuliwe. Kwa hiyo basi, m2 kama huyu anayetaka kununua rangerover wakt akijua kuna watz wenzake wanataabika, hana tofauti na yule anayenunua magari ya thamani ya serikali huku walipakodi wakila vumbi. Am sorry Amoeba, lakini napata feeling kwamba hata wewe 2kikuweka ofisini utakimbilia kununua hayo ma-offroad!!

Ni mtazamo tu, i stand 2 be corrected

Samahani mkuu naona nimekukwaza kidogo. Mm siyo mwanasiasa, hao wabunge mnawachagua wenyewe, wananunua hayo magari wanapita kuombea kura mnawapa tena!! Mm nanunua gari kutokana na mahitaji yangu, katika kutimiza wajibu ulio mbele yangu. msaada mtu anatoa (kama wewe unavyotoa) lakini usijidanganye kuwa kwa sababu bado kuna watanzania masikini basi wewe usinunue majembe ili hiyo pesa ikalishe maskini!!!! na wewe utaingia hukohuko kwenye umaskini wote mkose wa kuwasaidia! kuhusu kuwekwa ofisini....oh! ooh! sijawahi kufanya kazi ofs ya serikali, na siwezi kufanya kazi ofisini, nimeshazoea shambani. Mtoto wa mjn unawaza OFISI tu! kalaghabaho!
im sorry dude!
 
Kwa nini usinunue escudo(make na hiyo ni offroad bomba sana) then hiyo hela ya ziada na ya wese ukasaidia kusomesha mtoto wa maskini 1? Tusaidiane kupambana na umaskini jamani sio kupambana na respect barabarani.

Ni wazo tu.

Wazo lako si zuri mwache anunue gari yake aliyoifanyia savings. una uhakika gani hasomeshi mtu maskini?
Jasusi make your dream come true
 
seems una hela za mawazo ushauri usibuy hizo unazotaka otherwise daily utakuwa unasababisha jam barabarani kwa kuishiwa mafuta, kama shamba nenda for cruiser mkonge au nissan patrol dume zitakufaa,au hilux 2.8 its okay,othewise utaumia kama unaweka mafuta ya kupima 5000,duh!!

asante mkuu, nissan Patrol ndy natumia sasa, imefika muda wa kuuzwa-si unajua mjasiriamali hakai na mashine mpk juu ya mawe!
 
If you are working hard GO FOR SOMETHING THAT WILL MAKE YOU FEEL THE JOY OF EARNING YOUR MONEY.MRADI UNA HELA YAKO NDUGU YANGU usijinyime ati kwa vile kuna wenye kudhani kila mtu anapaswa kubana matumizi. SIKU ZA KUISHI HAPA DUNIANI NI CHACHE/FUPI MNO....
I will still advise you to go for the big machine...... kama ni mjasiriamali hutashindwa kulinywesha mafuta hilo dude.

Kuna mchangiaji kazungumzia mafuta ya 5000/= ndugu hayo kwenye RR ni kama kutemea mate.... unaanza na kama 50,000/- LOL..4GET ABOUT 5k UTAADHIRIKA NJIANI.

KWA faida ya wenye kuona kila kitu kwa jicho la ufisadi - mjue tu kuwa FISADI hafanyi consultation wala window shopping.
Amoeba kauliza kwa vile ana uchungu na hela yake aliyoitokea jasho.

Fisadi yeye anakuwa na ule mshawasha wa kutumia maana anajua kesho atakwapua tena.
 
Achana na hiyo RANGE ROVER 4.6 HSE ni gari ya kimasikini na ni rahisi mno katika SUV. Kwa ushauri wangu nunua magari ya kutoka USA ama RUSSIA kama vile Dartz Prombron Monaco Red US$ 1.6m (Seat belts with whale penis leather trim)

attachment.php


ama New Audi Q5 US$ 1.24m

attachment.php


ama Bugatti Veyron $1,7m
attachment.php


ama Bugatti Veyron 16.4 Grand Sport US$ 2.1m
 

Attachments

  • Whale_car420-420x0.jpg
    Whale_car420-420x0.jpg
    25 KB · Views: 379
  • caractere_q5_front.jpg
    caractere_q5_front.jpg
    23.4 KB · Views: 380
  • bugatti-veyron1-revise.jpg
    bugatti-veyron1-revise.jpg
    14.5 KB · Views: 370

Similar Discussions

Back
Top Bottom