mkuu huyu jamaa amevunja rekodi ya kupunguza uzito bongo, natamani nijue siri yake halafu nafungua weight clinic/health club maeneo ya mikocheni au nitaongea na zadok anipangishe kwenye hayo magara yake ya dar village niwabane mademu wa kibongo maana wengi nao wapo obsessed na uzito.
anasema yeye ni diet tu, alikuwa anakula chapati saba asubuhi na chai, lakini sasa hv muhogo wa kuchemsha kipande na chai ya rangi.