Recent content by bluemonkey

  1. bluemonkey

    Hebu tumkwamue huyu dogo

    Mpeleke mtafutie mwalim wa Pure advance mathematic ,Economics--aanze na Econmc one, na Geograph aanze na Physical geograph ,mwache asome hata miezi 5 halafu mpeleke private school itamsaidia sana anweza fikia malengo yake
  2. bluemonkey

    Mwaka wa tatu sasa anaishi kwa wakwe zake bila mumewe

    kama aliolewa kwa taratibuza kimila yakwao pia yawezekana na mme kamuweka kwa taratibu zakwao pia maana hapo kilammoja anamila yao
  3. bluemonkey

    Mwigulu Nchemba awalipua UKAWA Babati

    Amesemaje? mbona umetuwekea picha tu? ndo ulipuaji gani huo?
  4. bluemonkey

    Nahitaji kubadili dini ili nioe

    we dini ya uislam huijui unawajuwa waislam na hujasoma chochote kuhusu uislam baliuliimbishwatu dini soma sura ya tatu aya 85 kwa kukusaidia huwezi endelea kutuletea utumbowako huo badili ukapewe kitabuchako kwa mkono wa kushoto tenakwa kupigwa mgongo
  5. bluemonkey

    Lowassa acha kuhadaa Watanzania, sema ukweli wako juu ya kuchukia umasikini

    Wewe unalalamika kudanganywa ambako hakujatimia ungeonekana unaakili ungelalamikia watu waliokudanganya miaka 54 na wasitekeleze chochote juzi tu mliambiwa maisha bora kwa kila mtanzania hayo husemi unaleta mbwembwe za nini watanzania wamechoka ahadi za manyani
  6. bluemonkey

    Nilimuheshimu sana kama kaka, leo hii ananitaka

    Umenufaila na vyake na hutaki kuvisema alivyokusaidia kutongozwa ndo unataka ushauri, Halafu kutongozwa sihaki ya mwanamke kaka ni uliezaliwa nae acha kujificha kwenyekichaka cha karanga subiri akuoe huyo
  7. bluemonkey

    Msaada Kuhusu zoezi la uhakiki taarifa za Mpiga kura

    zitakuwa tayari zipo kwenyekapu lao
  8. bluemonkey

    Tahadhari: Mtanzania usiue, usipigane na usitukane mwenzako kwa ushabiki wa kisiasa

    Paschal ndege mungu akulipe kwa ushauri wako mzuri yatubidi wote tuufanyie kazi ili tuwahukumu waomba kura kwa vigezo vyao na sivinginevyo
  9. bluemonkey

    Nashindwa kuwaamini wanaume

    pole sister ila kunakitu unakikosea ndo maana unapata mtihani jichunguze na hao wanaume huwa unawapata mazingira gani? kwenye masoko, mikutano ya kidini, disco, vilabu vya pombe, we chunguza utagundua tatizo lipowapi
  10. bluemonkey

    Lissu na Slaa kulamba matapishi yao? Mkakati uliopo ni, Lowassa Mgombea Urais, Slaa Waziri Mkuu

    Niheri ukarizika na samaki watano wazim kamakitoeo chako cha siku kuliko kupokea lori zima la samaki walio oza mana hata walewachache hitowaona kabisa
  11. bluemonkey

    CHADEMA hali mbaya Kiteto, ofisi za Chama hicho ikiwemo ya Wilaya yafungwa zaidi ya miezi sita sasa

    Subirini moto wa EMBOLEYMUTANGOS mtatia adabu tu hizo porojo za miaka hamsini na zaidi zitakwisha
  12. bluemonkey

    Msaada: Nahitaji kuzaa na mume wa mtu ambae mkewe hajazaa nae tangu wafunge ndoa mwaka 2001

    Anapotezea watu muda mwambieni awekepicha yake hapa na namba ya sim maana yawezekana ni mbibi halafu anaongelea kuzaa wakati na yeye ni walewale
  13. bluemonkey

    Ukweli lazima usemwe

    walimwengu tunamambo
  14. bluemonkey

    Wenyeviti wa ccm na wajumbe wa NEC (CCM) kuondoka Chamani Rasmi

    Wanatishia pori kwa kiwembe
Back
Top Bottom