Mpeleke mtafutie mwalim wa Pure advance mathematic ,Economics--aanze na Econmc one, na Geograph aanze na Physical geograph ,mwache asome hata miezi 5 halafu mpeleke private school itamsaidia sana anweza fikia malengo yake
we dini ya uislam huijui unawajuwa waislam na hujasoma chochote kuhusu uislam baliuliimbishwatu dini soma sura ya tatu aya 85 kwa kukusaidia huwezi endelea kutuletea utumbowako huo badili ukapewe kitabuchako kwa mkono wa kushoto tenakwa kupigwa mgongo
Wewe unalalamika kudanganywa ambako hakujatimia ungeonekana unaakili ungelalamikia watu waliokudanganya miaka 54 na wasitekeleze chochote juzi tu mliambiwa maisha bora kwa kila mtanzania hayo husemi unaleta mbwembwe za nini watanzania wamechoka ahadi za manyani
Umenufaila na vyake na hutaki kuvisema alivyokusaidia kutongozwa ndo unataka ushauri, Halafu kutongozwa sihaki ya mwanamke kaka ni uliezaliwa nae acha kujificha kwenyekichaka cha karanga subiri akuoe huyo
pole sister ila kunakitu unakikosea ndo maana unapata mtihani jichunguze na hao wanaume huwa unawapata mazingira gani? kwenye masoko, mikutano ya kidini, disco, vilabu vya pombe, we chunguza utagundua tatizo lipowapi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.