Kuna vitu dadaangu havina cha kukamatika wala nini issue yakumshawishi kidume kufunga uzazi co kama unavyoiwza naamini mwanamme hata awe boya au bushoke VP ukimletea mada hiyo unambumbulusha maxima labda utumie ulozi (uchawi) lakn kawaida kabiaa wanaume wenyewe hawa wa kileo iyo ngumu
Mimi wanafika wanne wa mwisho juz kati mtoto wa mama mwenye nyumba..alianza kujisemesha semesha eti uzuri woote huu ata hunitongz..??? Jibu langu cku zote sina hela ndio maana ckutongoz wasichana wazur kama wewe.. Sasa hivi najilia buuure na msos wa ucku unaopikwa kwao huqa naletewa akiwa na nyege
Walimu wawili wa shule ya sekondari Kifaru wawekwa korokoroni kwa kosa kujihusisha kuwahifadhi na kuwasafirisha wahamiaji haramu kutoka Kenya waliokuwa safarini kwenda Zambia.
Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake kamanda wa Polisi mkoa wa Dodoma kamanda Gilles Muroto alisema...
Issue co wanaenda wapi au wanachukua kombe gani issue hapa haki,taratibu na kanuni zifuatwe co kupewa pewa pints hovyo...!! Wao simba kama wana ushahidi wa kadi tatu hofu yenu nini??
Simba ile mechi alishinda kwa namna maana simba haina Mpira wa kumfunga Mbao bao 3 ndani ya dakika 10..! Kama angekuwa na uwezo huo angeshinda kwa toto au kagera TAKUKURU Kuna jipu limeiva hapa linahitaji kuchunguzwa na kutumbuliwa
Tumedandia sawa lakn yeye kasoma kupitia hiyohiyo lugha tuliyoidandia na akafaulu kupitia lugha hiyohiyo lakn inamgogoro kwa upande wake sasa swali alifaulu vp...??
Yeah...!! Wanaruka ruka huku wanatoa mifano icyoendana wanaacha mada wanaenda ushabiki..!! Rais wa china kasoma kwa kichina so kujua kingereza co lazima kama huyu wetu ambaye amesoma mpaka hapo kwa kiingereza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.