DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,291
- 29,485
Bado najiuliza kama Phd yake ni ya kughushi. Je alitoa hongo kwa uongozi wa UDSM au nini kilitokea ?
na alikuwa na ushawishi gani wa kuweza kutunukiwa shahada ya 3 bila kufuata taratibu sahihi ?
Na je malengo yake ni yapi yaliyopelekea aghushi Phd yake kama kweli alighushi ?
na alikuwa na ushawishi gani wa kuweza kutunukiwa shahada ya 3 bila kufuata taratibu sahihi ?
Na je malengo yake ni yapi yaliyopelekea aghushi Phd yake kama kweli alighushi ?