Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 29,201
- 83,468
Mmhh mie mbona huwa natongoza wanaume wanaojielewa tu haijalishi wana muonekano gani
Naomba unitongozeMmhh mie mbona huwa natongoza wanaume wanaojielewa tu haijalishi wana muonekano gani
Naomba unitongoze
Hahhaah this lifeDah mimi nilijiona nna gundu nimekaa JF miaka kadhaa sijawahi pata hata manzi siku moja naona PM kucheki kuna shoga ananitongoza. Nikajipa likizo JF.
Wapi nimesema nitajinyonga?Utajinyonga kwa nn?
Haujawai fanyaje?Mimi binafsi sijawahi.
Kama hauna hela wanawake wazuri wote waheshimu kama mashemeji zako!Mimi wanafika wanne wa mwisho juz kati mtoto wa mama mwenye nyumba..alianza kujisemesha semesha eti uzuri woote huu ata hunitongz..??? Jibu langu cku zote sina hela ndio maana ckutongoz wasichana wazur kama wewe.. Sasa hivi najilia buuure na msos wa ucku unaopikwa kwao huqa naletewa akiwa na nyege
Anayejielewa ndio anakuwaje,maana nasikia tu wadada wakisema hako kamsemo lakini sijajua meaning yake.Unajielewa lakini ??
😀😀😀 poleeDah mimi nilijiona nna gundu nimekaa JF miaka kadhaa sijawahi pata hata manzi siku moja naona PM kucheki kuna shoga ananitongoza. Nikajipa likizo JF.
Asante mkuu. 😄😀😀😀 polee
Tudokeze basi sound zake, alikuambiaje dah😀Asante mkuu. 😄
Mimi nishatongozwa sana tu, tokea nikiwa form 1. Ila sijawahi kumkubali hata mmoja kati ya wote hao walionitongoza na cha ajabu walikua wazuri tu, ila mimi sikuridhika nao tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah ni mda kidogo ilikuwa 2018 hivi mwishoni. Nishasahau zile sound ila yule jamaa dah 😅😅😅Tudokeze basi sound zake, alikuambiaje dah😀
"Chalii nimekuelewa kinoma noma njoo tubonge nk",? Ndukiii
Unamaanisha jamaa ni kiba100?Ndugu yng ndonga haisimami
Aisee, ni majuto ya wengi. Sasa naelekea uzeeni nimejikuta nawakumbuka watoto wa watu walionipenda.Mwengine alinionyesha deeply signs of her emotions juu yangu.. nilikuwa nafikiri Yale mambo ya mtoto wa kike kukuumia vidole ni kwenye bongo movie tu! But weeeeee it's real alishindwa kuficha hisia zake nikajiongeza grace nakumbuka jina lako..
Mwengine mtoto wa kichaga same her body language was speaking everything to me! Huyu najilaumu kenge Mimi na kupitia yeye nimejifunza mtoto wakike akikupenda anaonyesha signs zipi! But pumbavu sikushtuka kipindi kile I was deeply with aliens👽👽
Mwengine huyu namkumbuka kwa visa vyake sina la kusema ila miguu yangu ilipata kasheshe Sana darasani alihama dawati lake akaja dawati nalokaa mimi na hayupo radhi mtu akae mkabala na Mimi ataomba ama atapenya tu ilimradi akae nami mwalimu yupo darasani lkn yeye alikuwa analeta miguu yake anashikanisha na yakwangu inasuguana weee dah! And she was feeling great!! Mwanamke akipenda huwa kipofu.