Wewe nawe uko sawa kweli? Hivi huoni kwamba alikuwa anafanya wizi,ulanguzi na uhujumi uchumi? yaani unataka akafundishe watoto wetu wizi wa kuweka pesa kwenye soksi halafu anajifunga tumboni na kuvaa tishirt kubwa na kuvuka mipaka yetu bila kukamatwa? Mbona hicho alichokuwa anafanya ndo vilevile...
Hivi ndugu yangu huyu mami anawaza akifunga watu wote anaowaongoza yeye atabaki kuwa raisi wa nani? manake najuwa tukiisha wote atawafunga hata mkewe na wanae..."....dhambi ya kula nyama ya mtu huwezi kuacha ....".by Mwalimu Nyerere
Well said bro. Unajua katika nchi hii hapa ndo mimi nasema hatutaweza kugundua mambo ya maana,unakuta kuna mkulima huko mbuga za wanyama anatengeneza mabunduki na mabomu ya kuwindia wanyama halafu wanakamata wanapiga wee mwisho wa siku wanafunga gerezani...ningekuwa mimi napeleka jeshini...
We mleta uzi hebu pitia tena hadithi yako kwa kuzingatia marekebisho katika wino mzito ili hadithi ilete maana...otherwise hii nyimbo ilishapita muda wake miaka mingi sana....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.