Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 15,997
===========
Kama mnakumbuka huyu Bruno Kims alipatikana na hatia na kufungwa jela baada ya kufurahia mauaji ya polisi pale Stakishari kwa sasa amenyooka na kujikuta akitoa pole kwa polisi wafiwa.