Labda wanajaribu kufanya ufisadi hadi kwenye mibaraka...Hivi ukiwa kiongozi unatakiwa uwe muumini wa dini zote? Nauliza tu
[emoji1] [emoji1] [emoji1] JF raha sana... ngoja sasa nilale!Mkuu wa wilaya ya Kinondoni,bwana Paul Makonda amesema kitendo cha kufanyiwa vurugu mzee Warioba kimempa umaarufu na kusababisha apewe ukuu wa wilaya.
jf