Serikali ziwaache YANGA na SIMBA

Serikali ziwaache YANGA na SIMBA

We uko sawa k
Hongera Mohamed Kiganja kwa kumdhibiti Manji aliyetaka kukwapua timu ya Yanga , Hongera Akilimali kwa kukataa rushwa ya mil. 100 .
Akose pesa ya kununulia ndala,akatae mil 100?....akili za kuambiwa hizi ngoja nichanganye....
 
Hongera Mohamed Kiganja kwa kumdhibiti Manji aliyetaka kukwapua timu ya Yanga , Hongera Akilimali kwa kukataa rushwa ya mil. 100 .
Hiyo rushwa akilimali aliikataa wapi?
Na alipewa na nani?
 
Kwa nini hao wawekezaji kama wana nia ya dhati wasianzishe timu zao?
Manji kafanya kipi kikubwa pale yanga kiasi cha kutaka kukodi nembo kwa miaka 10,eti ailipe yanga milioni 100 tu kwa mwaka,huo ni utapeli wa hali ya juu kuwahi kutokea
Hizi club zilianzishwa ki burudani,anaetaka kuwekeza lazima atoe somo refu sana vinginevyo akaanzishe timu yake
Hao ni wafanyabiashara,itafika wakati mechi ya simba na yanga inachezwa Dar,matokeo yapo hong kong,ndio hapo tutakapookota maiti za kutosha Taifa
Yanga wenyewe simba wakifunga goli la kusawazisha wanaanza kuzimia zimia hovyo,itakuja siku watapigwa 9-0 patakua hapatoshi
cc OKWI BOBAN SUNZU
Umeongea kishabiki hapa kakojoe ukalale
 
"Serkali ziwaache yanga na simba" unataka kusema nini hasa???
 
Back
Top Bottom