Recent content by blooms

  1. B

    Serikali bado tuu wafanyakazi mnawatupa kiasi hicho

    Kinachoendelea bungeni katika bunge LA bajeti wanajijua ccm wenyewe maaana hakuna utetezi wowote juu ya maslahi ya wafanyakazi kazi kushangilia kila jambo Mungu anawaona
  2. B

    CCM hili linawahusu, jamaa anawaulieni chama 100%

    Chama kilikufa kwa jk sasa kinazikwa rasmi kwa kifaru
  3. B

    Msaada: Naomba kukopeshwa hela nimpeleke mtoto shule

    Shidaa ni matapeli Wengi watanzania niwakarimu saaaana
  4. B

    Bomu la Ajira litamlipukia Rais Magufuli

    Tuendelee kuimba ule wimbo wa marehemu captain komba
  5. B

    mkulima aliyetembea kwa mguu kutoka tabora mpaka bukoba kumuona raisi

    Jambo lakushangaza kidogo mkulima wa tumbaku kutoka urambo tabora katembea kwa mguu mpaka bukoba Kwanini Lengo la kumpelekea matatizo ya bodi ya tumbaku.. Mkoani tabora
  6. B

    Kwa Hotuba ya Kagera, ni bora angekaa kimya

    Usimwamini mwanasiasa hata kidogo. ..magufuri Yule aliyekuwa akiomba kura kwa Sura ya upole
  7. B

    Waziri Mkuu Majaliwa: Serikali itaajiri walimu 4,000 wa Sayansi na Hisabati hivi karibuni

    Tupo gizani tena kwenye shimo lenye siafu.. .hatujui lini tutatoka na kuona mwanga
  8. B

    Mistari ya wimbo wa Fid Q sumu

    usiache wewe ni incharge huna spear/ kipaji ka ngwear/kwa mpaji ni ka zawadi aliwagea/flag pepea/alihitaji zaidi ya Maji na mmea…? Ilikuaje wamuache hadi mshkaji ulaji wa drags ukamzoea ..? Ngosha kammisi ngwea.. ..
  9. B

    Mistari ya wimbo wa Fid Q sumu

    Huyu ngosha bado watanzania hawajamuelewa nini anakifanya
  10. B

    Mistari ya wimbo wa Fid Q sumu

    Huo msatari nimeulewa saaaana
  11. B

    Mistari ya wimbo wa Fid Q sumu

    Alieniumba alinipa mdomo hovyo nina haki ya kuongea/ ni bahati nimeotea..safi… Kamwe siachi kuishea/ hamtaki niwe fair…? Trust me.. Me huwa happy niki-care/ na ninaowatouch husema” mshkaji upo smart upstairs / usiache kuongea/ usiache wewe ni incharge huna spear/ kipaji ka ngwear/kwa mpaji ni ka...
  12. B

    USHAURI KWA DARASSA

    Ushauri Sio sheria. ...nimekuelewa
  13. B

    Masoudy kipanya Vs Hassan mpangala

    Masoud ni level zingine
Back
Top Bottom