Kinachoendelea bungeni katika bunge LA bajeti wanajijua ccm wenyewe maaana hakuna utetezi wowote juu ya maslahi ya wafanyakazi kazi kushangilia kila jambo Mungu anawaona
Jambo lakushangaza kidogo mkulima wa tumbaku kutoka urambo tabora katembea kwa mguu mpaka bukoba Kwanini Lengo la kumpelekea matatizo ya bodi ya tumbaku.. Mkoani tabora
usiache wewe ni incharge huna spear/ kipaji ka ngwear/kwa mpaji ni ka zawadi aliwagea/flag pepea/alihitaji zaidi ya Maji na mmea…? Ilikuaje wamuache hadi mshkaji ulaji wa drags ukamzoea ..?
Ngosha kammisi ngwea.. ..
Alieniumba alinipa mdomo hovyo nina haki ya kuongea/ ni bahati nimeotea..safi… Kamwe siachi kuishea/ hamtaki niwe fair…? Trust me.. Me huwa happy niki-care/ na ninaowatouch husema” mshkaji upo smart upstairs / usiache kuongea/ usiache wewe ni incharge huna spear/ kipaji ka ngwear/kwa mpaji ni ka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.