Hujaishi na wagonjwa wa ukimwi ndugu ukaona jinsi wanavyoteseka kisaikolojia na wengi kwa sasa hufa gafla na kuacha familia matatani.... Hizo ARV ndio zimeleta shida kubwa wengi huonekana ni wazima kumbe anakufa polepole
Kama nssf wanatoa basi ni kwa upendeleo mimi nimezungushwa mwaka mzima na last week wamenitolea nje eti sababu nilisitisha mkataba... Siupendi huu mfuko ni kalenda kila siku
Yes.. Jitahidi kuomba sana tumia nguvu zako kujitenga na uovu ukiweza funga hata maramoja hakika Mungu atakujulisha/kukuonesha mwenyewe pasipo kuwekewa mikono na mtumishi yeyote
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.