js52471224
Member
- Oct 8, 2017
- 36
- 15
Wanaotaka kuwekeza kwenye miti wanaweza kuniona mashamba yapo Njombe Lugarawa Ugera.Nauza Shamba lenye miti sh.1,000,000 Kwa eka moja,shamba tupu lakupanda mwenyewe sh.600,000 karibu MAWASILIANO 0654889707
Hakuna labuda itokee bahati mbaya nakingine akichoma analipa kupanda miti na fidia ya helaNasikia kuna kuchomeana mashamba huko
Unaweza kujaribu kupanda kunabaridiMikambokambo Huko haioti?
Kwa heka moja au??Wanaotaka kuwekeza kwenye miti wanaweza kuniona mashamba yapo Njombe Lugarawa Ugera.Nauza Shamba lenye miti sh.1,000,000 Kwa eka moja, shamba tupu lakupanda mwenyewe sh.600,000 karibu MAWASILIANO 0654889707
Ndio Kwa eka mojaKwa heka moja au??
Mkuu ni wapi huko ambako Heka Moja isiyo na miti inauzwa Laki 6??Ndio Kwa eka moja
Hakuna shamba tupu la Tsh 600,000/ kule Njombe na Iringa, labda pande za Tukuyu/Rungwe.Ndio Kwa eka moja
MhWanaotaka kuwekeza kwenye miti wanaweza kuniona mashamba yapo Njombe Lugarawa Ugera.Nauza Shamba lenye miti sh.1,000,000 Kwa eka moja,shamba tupu lakupanda mwenyewe sh.600,000 karibu MAWASILIANO 0654889707
Jaribu kunifafanulia mkuu kabla sijamtafuta huyu jamaa bei, sifa za maeneo hayo na tahadhari za kuchukua kabla,wakati na baada ya kununua shamba.Hakuna shamba tupu la Tsh 600,000/ kule Njombe na Iringa, labda pande za Tukuyu/Rungwe.
Wewe muuzaji utakuwa umedanganywa, mimi mwenyewe niko pande hizo hizo. Hatujafikia bei hiyo.
Kuwa na busara kila BIASHARA sio lazima umaharibie Mwenzio na wewe tangaza yakoHakuna shamba tupu la Tsh 600,000/ kule Njombe na Iringa, labda pande za Tukuyu/Rungwe.
Wewe muuzaji utakuwa umedanganywa, mimi mwenyewe niko pande hizo hizo. Hatujafikia bei hiyo.
Hata wewe unawaharibia watu wanaotaka kuwekeza kwa sababu ya kuwaambia vitu ambavyo havipo. Unadhani ukishampiga mtu kwa bei hiyo na kesho yake akasikia jirani yake kanunua kwa laki na nusu eneo hilo hilo atajisikiaje? Au fikiria ndo wewe unapigwa na jamaa kienyeji utafanyaje?Kuwa na busara kila BIASHARA sio lazima umaharibie Mwenzio na wewe tangaza yako
Jaribu kunifafanulia mkuu kabla sijamtafuta huyu jamaa bei, sifa za maeneo hayo na tahadhari za kuchukua kabla,wakati na baada ya kununua shamba.
Shukrani sana mkuu, umenifumbua macho nina uhitaji wa kununua shamba.Bei za mashamba yaliyo karibu na mji wa Njombe labda 50/70 km bei yake iko kati ya 100,000/ mpaka 120,000/ pamoja na gharama ndogo ndogo. Ukienda umbali mpaka wa 100km unapata kwa 80,000/90,000/ kwa eka.Hilo ni shamba tupu. Maeneo ya Njombe mengi sana yanafikika kwa gari, yana mvua za kutosha, manpower skilled ipo.
Usinunue shamba la familia bila kuwashirikisha wote, hakikisha mwenyekiti wa Kitongoji na mwenyekiti wa kijiji wameshiriki zoezi Zima. Lipia malipo ya kijiji bila kukwepa, angalia usije ukauziwa maeneo ya mifugo. Kama shamba linauzwa na mmiliki wa pili, tafuta sababu kwa nini analiuza. Dalali aishie kukuonyesha mwenye shamba, baada ya hapo mengine fanya mwenyewe.
Baada ya kununua, hakikisha kijiji kinakupa mhitasari na nenda Njombe waje wakupimie kabisa. Nenda na mashahidi wako na kama huna omba viongozi wa kijiji wakusaidie kupata majirani wa shamba husika ili wasaidie kuonyesha mipaka.