Recent content by blackwise

  1. blackwise

    JamiiForums Tanzania Nimejiuzulu rasmi nafasi yangu ya Ujumbe wa Bodi ya Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi

    Mkurugenzi Mtendaji wa Vapper Tech Limited (Jamii Forums) Maxence Melo ametangaza kujiuzulu nafasi ya Mjumbe wa Bodi ya Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi aliyohudumu kwa takribani miaka miwili Kupitia mitandao yake binafsi ya kijamii Maxence Melo amechapisha taarifa hiyo akieleza kuwa leo...
  2. blackwise

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Tundu Lissu kujiunga ACT Wazalendo, Abdul Nondo naye kuula!

    Kwenye siasa chochote cha weza kutokea na pengine hilo sio kitu cha kushangaza kabisa maana ata akienda TLP haiwezi kubadilisha misingi ya maisha binafsi, siasa ni kama mapenzi waweza fanya chochote ili upate penzi
  3. blackwise

    JamiiForums Tanzania Yanayojiri kwenye siku ya kuzaliwa kwa Diamond Platnumz

    [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
  4. blackwise

    JamiiForums Tanzania Saed Kubenea anazungumza na waandishi wa habari

    Mbunge wa Ubungo Said Kubenea anaongea na Waandishi wa habari muda huu. Baada ya Mahakama ya Afrika Mashariki kusikiliza shauri la kesi iliyowasilishwa na kampuni ya MwanaHalisi halisi tarehe 21/6 mwaka huu mahakama ilisema Serikali ya tanzania imevunja sheria kwa kufungia gazeti la mseto...
  5. blackwise

    JamiiForums Tanzania Msaada wa Kisheria kuhusu Sheria ya Uzembe na Uzururaji

    Ndio ipo,, ipo katika sheria ya kanuni ya adhabu sura ya 16 kifungu cha 177,. Wazembe na wazururaji. Kwanza nianze kuelekea kifungu cha 176 maana vinahisiana kwamba '176:" mtu yeyote akiwa ni muuza kilabu ya pombe, hoteli, bar , duka, chumba au mahali pengine panapofikiwa na watu mara kwa kwa...
  6. blackwise

    JamiiForums Tanzania Rich Mavoka WCB ndo kikwazo cha ndoto yako

    Wasalaam wana jf Haya ni mawazo yangu binafsi na pia ndo mtazamo wangu, pengine nisiwe sawa au nikawa sahihi kwa asilimia kazaa. Nimeanza kumfuatia Richard mda mrefu sana, nimekuwa nikifuatilia sana mahojiano yake kwenye Tv, radio na mitandao mbalimbali, jamaa Ana ndoto kubwa sana kwenye...
  7. blackwise

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume wengi siku hizi hawatongozi muda mrefu

    Wanawake wengi siku hizi wamakuwa wanahisi sanaa, kwa hiyo kama nilipata hadija kirahisi, na nikimfuata amina akileta mbwembwe naachana nae Sent using Jamii Forums mobile app
  8. blackwise

    JamiiForums Tanzania Amshitaki mkewe kwa kumzalia watoto wenye sura mbaya

    MWANASHERIA AMSHITAKI MKEWE KWA KUMZALIA WATOTO WENYE SURA MBAYA, NA HAKIMU AMWAGIZA MKE KULIPA FIDIA. Gazeti la mtandaoni la KINEDA limeripoti habari yenye msisimko wa kipekee, ambapo mwanasheria mmoja aitwaye Jian Feng, amemshitaki mkewe kwa kumzaliwa watoto wenye sura mbaya. Bwana Feng...
  9. blackwise

    JamiiForums Tanzania Nani mmiliki gazeti hili!

    Wadau wakina nanii wanamiliki wagazeti tunayoyasoma kila siku kama vile raia mwema, uhuru, nipashe n.k ...
  10. blackwise

    JamiiForums Tanzania Wakuu wa Mikoa Ambao hawana maneno mengi ..

    Uzuri mmoja wa mikoa ya kaskazini ukikubalika maisha yako yatakuwa fresh ila ikiwaletea Shobo nomaa a
  11. blackwise

    JamiiForums Tanzania GEITA: Wachimbaji 15 waliokuwa wamefukiwa na kifusi waokolewa wakiwa hai

    Wachimbaji wote 15 waliofukiwa mgodini huko Geita wameokolewa wote leo asubuhi wakiwa hai,,Mungu apewe sifa sana na hakika Mungu ni mwema
  12. blackwise

    JamiiForums Tanzania Wasomali 90 na Wakenya 2 watimuliwa Marekani

    Rais wa wamarekani Trump amewarudisha wakenya wawili na Wasomali 20 kwa ndege
  13. blackwise

    JamiiForums Tanzania Mbunge wa Kilombero(CHADEMA) Mh. Lijualikali, afungwa jela miezi sita

    Nimesoma humu kuwa Mbunge wa Kilombero na Diwani wa Kata ya Kilombero (CHADEMA) Ndugu Peter Lijualikali amehukumiwa kifungo cha miezi sita jela. Amehukumiwa kifungo hicho leo hii kwa kosa la kufanya vurugu wakati wa uchaguzi mkuu wa mwaka 2015,,, Wapo wanasiasa na wasio wanasiasa ambao wameanza...
  14. blackwise

    JamiiForums Tanzania Mbunge wa Kilombero(CHADEMA) Mh. Lijualikali, afungwa jela miezi sita

    Taarifa kutoka Kilombero Mh Lijuakali Mbunge wa Kilombero amehukumiwa Jela miezi sita. ======= Habari hii imetumika ktk JamiiLeo Mbunge wa Kilombero Mh. Peter Lijualikali (CHADEMA) amehukumiwa na Mahakama ya Kilombero kwenda Jela Miezi Sita Bila faini . Alikuwa anakabiliwa na Kesi ya...
Back
Top Bottom