Recent content by BlackGold_

  1. BlackGold_

    Ufugaji wa Nguruwe: Fahamu faida, hasara na mbinu bora za ufugaji

    Unaelimu gan? Sent from my LGLS740 using JamiiForums mobile app
  2. BlackGold_

    Je, ungependa kumuuliza swali gani Rais Dr John Magufuli kupewa nafasi ya kuonana naye?

    .....Ningemuomba msamaha kwamba nilikosea sana kumpa kura yangu, anisamehe sana!! Sitorudia kosa wala kuruhusu mtu yeyote ninayemjua kufanya hilo kosa tena.
  3. BlackGold_

    Marekani yaionyooshea kidole serikali ya Tanzania kuhusu Demokrasia na Haki za binadamu

    Afadhali Marekani iingilie kati maana huyu mtu kwaweli dahh!! Na uchumi umedorora pia...marekani afanye jambo hapo!!
  4. BlackGold_

    DAR: Jeshi la Polisi Kanda Maalum kuwachukulia hatua kundi la kisanii la Orijino Komedi

    Yaan kusema ukweli huyu jamaa anaiharibu hii nchi..sio siri!! Binafsi sasahv mimi siipendi hii nchi basi tu....natamani kuhama!!
  5. BlackGold_

    Nataka kutafuta maisha visiwani victoria mwenye ujuzi anipe hints

    Hakika sio sehemu salama!! kama wewe ni mvuvi sawa ila na samaki nazo hakuna hivyo in sehemu ngumu sana. Binafsi nisingeshauri mtu.
  6. BlackGold_

    Magufuli amekosea wapi, mbona 'anachuja' haraka?

    Mimi binafsi nimeshatosheka nae kabisa....mtu gani anafanya kazi za kila mtu utadhani yeye ndiyo mtanzania pekee, wengine kama wakimbizi tu. Nahisi hii yote ni kwa sababu ya ukurupukaji, hata kugombea nahisi ilikuwa kama kukurupuka tu. Haya ngoja tumuone "rais wetu mwema
  7. BlackGold_

    Hii mimba kweli yangu?

    Ok kwa jinsi nilivyoelewa hapo kuna mchezo. Most likely hiyo mimba SIO yako....anajaribu kukulazimisha ili pengine apate msaada wa kulelewa mtoto. La kufanya usimkatalie moja kwa moja bali nenda kwa wakili umueleze ili akuandikie barua uende kwa mkemia mkuu kupima DNA. Nabii tangu lini...
  8. BlackGold_

    Paul Makonda: Mimi nina uwezo wa kukuhamisha Dar iwapo nitaona unahatarisha maisha ya wakazi wa jiji

    Eti kale kapanya road...[emoji23] [emoji23] [emoji23]
  9. BlackGold_

    Wanasheria wa lady JD wamtaka Gardner kuomba msamaha kwa maneno yake ya kidhalilishaji

    Hii kesi Jaydee amekurupuka kwa kweli, na anaenda kumpa ulaji Gadner asubuhi kweupee. Mkuu Gadner usikubali hiyo misamaha tafuta Lawyer mzuri hili jambo dogo sana. Na kama ukihitaji msaada wa aina yoyote plzz usisite.
  10. BlackGold_

    Udhalilishaji wa RC wa Mwanza: Unapokea mshahara, unakula na mkeo halafu mimi nakufanyia kazi zako

    Kazi za serikali ni kudhalilishana tu sasahivi. Na cha ajabu mkuu wao anayaona sawa tu huyu mzee sijui vp... Kwa mwendo huu hii nchi inaweza kumshinda huyu jamaa. *sifazakijinga*
  11. BlackGold_

    Rais Magufuli hana sera yoyote ya kukuza uchumi, yupo yupo tu huku uchumi ukiteketea kwa kasi!

    Ukihukumu kwa staili hiyo kwamba kila ambaye hajavaa nguo 'nyeusi' basi atakuwa kavaa nguo 'nyeupe' utaweka hatiani wengi bila kosa. Kuna rangi nyingi.... Mfumo huu wa Magu sio tu unawaathiri waliokuwa wakwepaji kodi laah hata wale wazuri pia kwa namna moja au nyingine wanaumia. Hayajakufika...
  12. BlackGold_

    January Makamba adai kuna mtikisiko wa uchumi nchini

    Tatizo la 'Ngosha' yeye ni mfanyakazi zaidi kuliko kiongozi/mtawala. Asipoangalia hili linchi linakwenda kumuangukia!! Watanzania tuko matesoni sasa.... Maamuzi yake saa zingine vichekesho, anaahirisha shereh mbal mbal, anasema pesa peleka sehemu fulani sasa ma 'Financial advisors' wanafanya...
Back
Top Bottom