Kwa kunzia inatosha kabisa kwa hadware ya kawaida ukimix na vifaa vya umeme, vitasa vya milango misumari size zote, makomeo disk za kukatia chima na vungne vingi vodogo vidogo hadi mtaji ukue
Mtandao wa kijinga sana huu, Kamisheni zenyewe wanabana halafu wanaleta tena tozo kwa mawakala, unyonyaji mtupu, ebu waache tamaa, wanataka kutumalizia mitaji?
Yaani wote mshee hizo tigo pesa au? Yaani unaetaka kushea naye awe na fremu ya tigo pesa na wewe uweke tigo pesa ndani ya fremu hiyohiyo halafu mshee kulipa kodi ya fremu? Kwa hiyo namba za wakala zinakuwa mbilimbili? Hamuwezi kupata Faida yakueleweka,
Nawaslimu kwa jina la jamhuri ya muungano.
Mitaani hali ya biashara ya miamala inaanza kuwa mbaya, kwa mfano mimi nina kibanda cha mpesa tigo na airtel, kawida huwa nikufungua asubuhi wateja wanakuja kiujumla kunakuwa na ubize flani, wakutoa, wakuweka nawapata sana tu, leo sasa.hali ni tofauti...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.