Tony Yeyo
JF-Expert Member
- Mar 10, 2014
- 723
- 544
Wakuu habar zenu
natafuta mtu wa ku-share anaye eneo la kufanyia biashara
mm binafsi sina uwezo wa kukod fremu ya biashara na nikalipia pekeyangu
sasa naomba kama kuna mtu ana fremu ya biashara na yuko tayali ku-share basi itakuwa vizur
biashara nayotaka kufanya ni ya TIGO PESA, MPESA kwa ufupi ni kutoa huduma za kifedha kwa mitandao ya simu
Mimi niko Arusha...nafuta mtu wa ku-share itakuwa vziur kama atakuwa maeneo ya arusha mjini kule stendi ya mabasi
hapa namaanisha eneo lenye mzunguko mkubwa wa biashara
natafuta mtu wa ku-share anaye eneo la kufanyia biashara
mm binafsi sina uwezo wa kukod fremu ya biashara na nikalipia pekeyangu
sasa naomba kama kuna mtu ana fremu ya biashara na yuko tayali ku-share basi itakuwa vizur
biashara nayotaka kufanya ni ya TIGO PESA, MPESA kwa ufupi ni kutoa huduma za kifedha kwa mitandao ya simu
Mimi niko Arusha...nafuta mtu wa ku-share itakuwa vziur kama atakuwa maeneo ya arusha mjini kule stendi ya mabasi
hapa namaanisha eneo lenye mzunguko mkubwa wa biashara