TANZIA Mtoto wa Masoud Kipanya maarufu Malcolm the Believer amefariki dunia

Pole sana Masoud Kipanya

Pumzika kwa amani Malcom

Alikuwa kijana jasiri sana, aliyejiamini na mwenye furaha wakati wote pamoja na health challenges alizokuwa nazo.

Sentesi yake ya mwisho niliyoisoma kwenye insta page yake. Nanukuu....."Celebrate me now when am alive...appreciate me when am alive"


Rest In Peace Malcom
Maneno kutoka kwenye wimbo wa

Patoranking - Celebrate
 
Namjua huyo dada ni mtu wa watu sana. Nyumbani kwa mzee wake ni opposite na mlimani city. Karibu na Mwenge tower
Yaani Sarah ni mwanamke shupavu imagine aliacha ajira yake ili awe na muda wa kumhudumia mwanae.....mtoto wake wa pekee kamuacha daah....Bora masudi Ana watoto wengine kwa mke wake wa sasa
 
Kijana kasema anamshukuru Mama yake ambae ndie aliyekuwa nae muda wote akimlisha, kumsemesha, kumwogesha, kumwangalia.

Kasema Mama yake ndie aliyeweka pembeni maisha yake ili amsaidie mwanae.

Lakini pole zote, sala na rambi rambi ziende kwa baba Kipanya. Mfumo Dume na Mfumo Umaarufu mwanzo mwisho.
RIP Malcolm,Ila sentensi yako ya mwisho ni fikirishi sana
 
Hakika vita umepigana mwendo umeumaliza na imani umeilinda. Binafsi nimeguswa sana na msiba wa Malcom japo sikumfahamu physically lakini nilikuwa napenda kumfuatilia. Maumivu ambayo familia hii imepitia kwa miaka yote hii ndiyo maumivu ambayo familia yangu inapitia kutokana na tatizo kama la Malcom kijana ambaye hakukata tamaa na hakuacha kuwa jasiri. natoa pole nyingi kwa mama najua maumivu aliyopitia na anayopitia hata sasa lakini pia kwa baba na wanafamilia wengine hakika Mungu azidi kuwatia nguvu.
 
View attachment 1871884
Mtoto wa Masoud Kipanya maarufu Malcolm the Believer amefariki jioni hii alipokimbizwa Hospitali Muhimbili kwa matibabu ya dharula ( Emergency)

View attachment 1871891

Msiba utakuwa Mwenge kwa Babu yake na mazishi ni kesho.

View attachment 1871889

====

Alichowahi kuandika Malcom:

(Masoud Kipanya Story of my life)


My name is Malcolm Ali Masoud, I am the first born of Ali Masoud (Kipanya) and Sarah Chande.

I was born a fine and healthy baby but unlike any normal baby i took my first step when I was three years old. From that time I could walk but I wasn't able to run or do stuff like kids my age did (example riding a bike,jumping on a jumping castle, playing football, running, etc.)

At age 7 I started to deteriorate ,I could walk but I needed assistance sitting down and getting up from a seating position,I couldn't walk long distance,and climbing the stairs was a difficult task for me.

It was around this age that I was diagnosed with Muscular Dystrophy Syndrome Disease,a genetic disorder characterized with progressive muscle degeneration and weakness. I used to fall down frequently due to instability, and at age 9, I fell and broke both my legs(left leg was broken in the middle and the right one broke at the knee joint and middle part).

From that time onwards I haven't been able to walk again.This disease has taken away my childhood as I can't be like any normal kid,I can't walk,I can't attend school,I can't do things on my own. As days go by I keep deteriorating, now at age 17 the disease has progressed a lot ,my spinal cord is bent,I get severe pain,I get muscle cramps all over, I can't sit up, I cant raise my hands up,I can't move my legs,I can't feed myself ,I can't bathe myself,my hands can't even right this story(I'm using speech to text program,thanks to my iPhone) ,I need assistance in doing everything.

Thanks to my mom who has been there for me throughout. She has been feeding me,bathing me and taking good care of me,she has put her life on hold to take care of me .I'm very thankful to my mom,my dad,grandparents,aunties,uncles and cousins and friends for the love and care they have given me over the years.

For years now i have been spending my days and nights on bed but there wasn't a single moment that i have felt alone because i have been surrounded by family and friends who shower me with so much love ,they are my reason for my hope and my happiness.

I'm so grateful to all the doctors who have been treating me since my childhood to date
kwanza poleni sna wafiwa wote na wale wote ambao wamewahi kutoa support kwa kijana wa masoud all in all dogo tyr alikuwa anaonesha kuwa bright sana kichwani lkn ndo hvyooo mungu akutaka iwe hvyooo rest easy champion..malcom.
 
Back
Top Bottom