Ni wananchi wangapi hawamtaki Bwana Pierre? Mleta uzi kasema waandamanaji wako Bujumbura peke yake, sasa wananchi wa Burundi si zaidi ya Bujumbura, naamini warundi wataamua, kama hawamtaki si wataacha kumchagua, shida iko wapi. Watulizane kwani tumechoka kuhifadhi wakimbizi bwana
Kumbuka kazi mbaya unayo, sasa imeondoka waliofukuzwa wanatamani waifanye hata bila ya mkataba. Wakati mwingine migimo ni mob psychology tu. Sijui kama serikali ndiyo mwajiri wa wale madereva au walitakiwa kuwagomea waajiri wao!!:tonguez::tonguez::tonguez:
Hawa nao wanachosha kwanini wasisubiri mpaka watakapo kuwa tayari kuandiskisha wapiga kura? Kama vipi waunganishe na uchaguzi mkuu Oktoba 2015.
Tumechoka kuahirisha kaura hii ya maoni.
Wana jamvi mlioko Arusha, naombeni msaada wa majina ya hostel au rest house nzuri na zenye bei nafuu hapo Arusha mjini ambazo zinafaa kuishi mgeni wa Kitanzania. Lengo ni kujaribu kupunguza gharama za kuishi hotel za Arusha mjini, jamaa yangu awapo Arusha. Nashukuru sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.