Burundi President says third term will be his last

Burundi President says third term will be his last

Wananchi hawakutaki sasa utang'ang'aniaje kuwaongoza hata kama una haki.
Aondoke tuu bana watu watulie maana machafuko yamefika pabaya sasa.

Ni wananchi wangapi hawamtaki Bwana Pierre? Mleta uzi kasema waandamanaji wako Bujumbura peke yake, sasa wananchi wa Burundi si zaidi ya Bujumbura, naamini warundi wataamua, kama hawamtaki si wataacha kumchagua, shida iko wapi. Watulizane kwani tumechoka kuhifadhi wakimbizi bwana
 
Wananchi hawakutaki sasa utang'ang'aniaje kuwaongoza hata kama una haki.
Aondoke tuu bana watu watulie maana machafuko yamefika pabaya sasa.

Nchi yenye watu milioni 10.16 halafu hawakutaki watu laki moja then eti unatoa conclusion kama hawakutaki uondoke. Hizi reasoning zingine bana sijui watu mnazitoaga wapi
 
Ni wananchi wangapi hawamtaki Bwana Pierre? Mleta uzi kasema waandamanaji wako Bujumbura peke yake, sasa wananchi wa Burundi si zaidi ya Bujumbura, naamini warundi wataamua, kama hawamtaki si wataacha kumchagua, shida iko wapi. Watulizane kwani tumechoka kuhifadhi wakimbizi bwana

Total population yao ni 10.16 milioni hao wanaoandamana hawazidi hata elfu 60.
 
Rais Piere Ngurunzinza amefuta uamuzi wa chama chake nakutangaza kuwa HATAGOMBEA tena mhula mwingine.

Hongera nguvu ya umma, hii ni alama chanya kwa wanaukombozi wa Afrika hasa Tanzania, Rais Jakaya Kikwete na Chama chako jiandaeni kisaikolojia mlikabidhi taifa bila damu wala chozi.
 
Pierre Nkurunzinza is right.
The time he was elected to serve as a President of Burundi by the Members of Parliament, the Current Constitution was not in Place. Therefore this term limit as outlined in the constitution came later.
And as a common principle in Law. The New Law cannot be used for the issues prior to its enactment, therefore the count for the term limits should start the day when the Constitution was signed as a binding document to all Burundians.
 
Hivi ina maana ameshajihakikishia kuwa huo uchaguzi atashinda yeye?mimi nadhani hapo ndio pa kumkomesha kwa sababu inaonekana wengi hawamtaki basi kwenye sanduku la kura ndio pa kumuonyesha hayo ila kwa jinsi hali ilivyo naona hata hatakubali kushindwa huyu Mhutu....lazima aibe kura ili mradi awe Rais tena!
 
Wanachokidai ni tofauti na kauli aliyoitoa, wao wanadai asigombee yeye anasema akichaguliwa safari hii hatogombea tena uchaguzi mwingne baada ya huu.

Mkuu umeisoma na kuelewa barabara habari husika.
 
Rais Piere Ngurunzinza amefuta uamuzi wa chama chake nakutangaza kuwa HATAGOMBEA tena mhula mwingine.

Hongera nguvu ya umma, hii ni alama chanya kwa wanaukombozi wa Afrika hasa Tanzania, Rais Jakaya Kikwete na Chama chako jiandaeni kisaikolojia mlikabidhi taifa bila damu wala chozi.

@Yericko soma tena hapa
"I would like to assure the national
and international community that in
case I am elected now, this will be
my last term," he said in a
televised speech.
 
Wanachokidai ni tofauti na kauli aliyoitoa, wao wanadai asigombee yeye anasema akichaguliwa safari hii hatogombea tena uchaguzi mwingne baada ya huu.

Ataongoza nani wakati wananchi wake hawamtaki?
 
@Yericko soma tena hapa
"I would like to assure the national
and international community that in
case I am elected now, this will be
my last term," he said in a
televised speech.

Yani anamaanisha lazima azidishe hiki kipindi kimoja tu cha awamu ya tatu.
Yani bado hajasitisha nia yake ovu.
 
Ni wananchi wangapi hawamtaki Bwana Pierre? Mleta uzi kasema waandamanaji wako Bujumbura peke yake, sasa wananchi wa Burundi si zaidi ya Bujumbura, naamini warundi wataamua, kama hawamtaki si wataacha kumchagua, shida iko wapi. Watulizane kwani tumechoka kuhifadhi wakimbizi bwana

Nchi yenye watu milioni 10.16 halafu hawakutaki watu laki moja then eti unatoa conclusion kama hawakutaki uondoke. Hizi reasoning zingine bana sijui watu mnazitoaga wapi

Hizi riots ndo kwanzaaa zipo kwenye stage za mwanzo tena pierre alivotoa hilo tamko lake ndo ataamsha wengi tuu leo wapo 60 wanaonekana kesho 100 kesho kutwa watakuwa 10+million Never underestimate the power of a
few committed people to change the nation.
 
Hii tabia viongozi wa afrika waudhalilisha sana uafrika.pu.mba v. Zao
 
Bongo inabidi tufunge mpaka wetu na Burundi, Rwanda. Hawa jamaa wametapakaa wilayani kwetu NGARA na kuleta uovu na chuki zao za kijinga jinga hadi baadhi ya wanaNGARA wanaanza kuiga ujinga wa feature za pua zao. Rais wao ni Nkurunziza anatoka katika kabila gani? Anayejua aniambie please.
 
Hivi ina maana ameshajihakikishia kuwa huo uchaguzi atashinda yeye?mimi nadhani hapo ndio pa kumkomesha kwa sababu inaonekana wengi hawamtaki basi kwenye sanduku la kura ndio pa kumuonyesha hayo ila kwa jinsi hali ilivyo naona hata hatakubali kushindwa huyu Mhutu....lazima aibe kura ili mradi awe Rais tena!
Msemo wa pasco, zisipojaa zitajazwa tu!! lazima ashinde, tume ya uchaguzi yote ni wateule wake, unategemea nini? na kama umefuatilia kuna maswali 4,ambayo mawaziri wa nne wa mambo ya nje wa Tz, kenya, uganda na Rwanda wameenda nayo cjui kama ataweza kuyajibu!!! inaonekana hata wenzake wa EAC, watamtosa tu.
 
Bongo inabidi tufunge mpaka wetu na Burundi, Rwanda. Hawa jamaa wametapakaa wilayani kwetu NGARA na kuleta uovu na chuki zao za kijinga jinga hadi baadhi ya wanaNGARA wanaanza kuiga ujinga wa feature za pua zao. Rais wao ni Nkurunziza anatoka katika kabila gani? Anayejua aniambie please.

Ni Muhutu.
 
Hivi ina maana ameshajihakikishia kuwa huo uchaguzi atashinda yeye?mimi nadhani hapo ndio pa kumkomesha kwa sababu inaonekana wengi hawamtaki basi kwenye sanduku la kura ndio pa kumuonyesha hayo ila kwa jinsi hali ilivyo naona hata hatakubali kushindwa huyu Mhutu....lazima aibe kura ili mradi awe Rais tena!

Tatizo ni ngumu sana kwa aliye madarakani kushindwa...you know what I mean...hasa huku kwetu Afrika...
Ushindi mwingi ni wa mezani...ni nchi chache sana kuna real uchaguzi wa kishindani...
 
Katika hali ya kushangaza rais wa burundi pierre' nkurunziza ametangaza rasmi kuwania uraisi kwa awamu ya tatu wakati wananchi wakiwa bado wanaandamana kupinga hatua hiyo.Jambo la kujiuliza huyu mtu anataka kuirudisha burundi kwenye vita kama ilivyokua mwaka 1972 na 1994 ambapo watu wengi walipoteza uhai na wengine kukimbilia nchi jirani ikiwemo Tanzania,RAI yangu kwa jumui ya afrika mashariki,huyu rais mroho wa madaraka akalishwe kitimoto kwani anazipatia mzigo nchi jirani na ukizingatia Tanzania imeshatoa uraia kwa warundi walioingia mwaka 1972.
 
Back
Top Bottom