ipo mkuu ila jinsi ya kuitumia,duka LA kwanza waliniambia ninaweka tone moja kwa kila kuku,kila baada ya miezi mitatu,duka la pili walinieleza tone moja kwa kila kuku,nakaa siku 21 narudia tena kuwapa,duka La tatu waliniambia nawapa tone moja,baada ya siku 7 nawapa tena,nikaa tena siku 7 nawapa...