Recent content by BINTI MBAULA

  1. B

    Dawa za magonjwa ya kuku

    ipo mkuu ila jinsi ya kuitumia,duka LA kwanza waliniambia ninaweka tone moja kwa kila kuku,kila baada ya miezi mitatu,duka la pili walinieleza tone moja kwa kila kuku,nakaa siku 21 narudia tena kuwapa,duka La tatu waliniambia nawapa tone moja,baada ya siku 7 nawapa tena,nikaa tena siku 7 nawapa...
  2. B

    Dawa za magonjwa ya kuku

    Hbr ya mwaka mpya.hiyo ya kudondoshea tone mwenye jicho.dozi yke ipo vp?maana niliulizia maduka matatu tofauti nikapewa maelekezo tofauti
  3. B

    Mayai yangu yanaliwa jamani

    Hbr ya saa hizi?kuku wangu anameanza kutaga anamayai sita .tatizo lililopo ameanza kuumwa toka Jana.je ataweza kuendelea kutaga maana Leo hajataga
  4. B

    Weka oda Nikuletee

    20 lete
  5. B

    Waziri wa Kazi pita mahotelini uone unyanyasaji

    Aende kiwanda cha nondo na mabati MM steel aone, mpk wahesabu nondo ni wahindi.Nachoka kabisa
Back
Top Bottom