Hii sio joke ni serious usicheke...kuku wanakula mayai yao wakat mwingine...na kuwachoma midomo ni rahis na hawaumiiumenifanya nicheke,are you serious?
Hii sio joke ni serious usicheke...kuku wanakula mayai yao wakat mwingine...na kuwachoma midomo ni rahis na hawaumiiumenifanya nicheke,are you serious?
Serious mkuu kuna kuku anataga hapo hapo anakula ukisikia anaita inabidi ukimbilie la sivyo atalila mkuu dawa ni kuchoma mdomo na kisu cha moto ashindwe kutoboa yai
Nikweli inawezekana kuku mwenyewe anakula mayai yake.dawa ya kuchoma midomo nikweli ila huwa inakuwa na upungufu wa calcium kwa kuku.na kenge huwa ni hatari sana kwakula mayai sana bandaniNina kuku wa kienyeji wachache lakini kila wakitaga mayai yanaliwa na sijui nani anayala.
Nimeziba matundu makubwa makubwa yote bandani lakini bado,inaweza kua nyoka?? Au mnyama gani mdunchu mwenye anaweza kupenya kwenye matundu madogo?
Nifanye nini kumdhibiti mnyama/mdudu huyo jamani napata hasara.
Ila moto unatishakwetu huwa tunakata kidogo ile ncha ya mdomo (wa juu na chini) kwa kisu. Kuchoma inaweza kuwa inauma zaidi kuliko kukata
Sio kuchoma tu mimi nilikuwa naona wanakatwa nchi za midomoumenifanya nicheke,are you serious?
Itabidi uchunguze ni yupi anayekula usije ukamchoma mwingineAsante nitafanya hivyo
Wanaweza kuwa wanayala kuku wenyewe.Nina kuku wa kienyeji wachache lakini kila wakitaga mayai yanaliwa na sijui nani anayala.
Nimeziba matundu makubwa makubwa yote bandani lakini bado,inaweza kua nyoka?? Au mnyama gani mdunchu mwenye anaweza kupenya kwenye matundu madogo?
Nifanye nini kumdhibiti mnyama/mdudu huyo jamani napata hasara.
Ziba hayo matobo madogo ila wawekee oxygen kidogoNina kuku wa kienyeji wachache lakini kila wakitaga mayai yanaliwa na sijui nani anayala.
Nimeziba matundu makubwa makubwa yote bandani lakini bado,inaweza kua nyoka?? Au mnyama gani mdunchu mwenye anaweza kupenya kwenye matundu madogo?
Nifanye nini kumdhibiti mnyama/mdudu huyo jamani napata hasara.
hawez sabb anaumwaHbr ya saa hizi?kuku wangu anameanza kutaga anamayai sita .tatizo lililopo ameanza kuumwa toka Jana.je ataweza kuendelea kutaga maana Leo hajataga
Anaumwa ugonjwa gani?Hbr ya saa hizi?kuku wangu anameanza kutaga anamayai sita .tatizo lililopo ameanza kuumwa toka Jana.je ataweza kuendelea kutaga maana Leo hajataga
Fanya utafiti kwanza then ndo ufanye solutionNina kuku wa kienyeji wachache lakini kila wakitaga mayai yanaliwa na sijui nani anayala.
Nimeziba matundu makubwa makubwa yote bandani lakini bado,inaweza kua nyoka?? Au mnyama gani mdunchu mwenye anaweza kupenya kwenye matundu madogo?
Nifanye nini kumdhibiti mnyama/mdudu huyo jamani napata hasara.
Mifupa ya aina gani mkuuHuu ni ukatili kwa Mifugo, ukijiridhisha kama Kuku wako ndio hula hayo mayai basi pita kwa Wauza chips wakupe maganda ya mayai, kisha yapondeponde uwape.
Nenda duka la madawa na vyakula vya mifugo waambie unataka mifupa utapata mkuuMifupa ya aina gani mkuu