BINTI MBAULA
Member
- Oct 16, 2016
- 42
- 18
kwa tabia za miss natafuta na miss chagga,,,!!! Bora wa Kiume.
Makubwa!
kwa tabia za miss natafuta na miss chagga,,,!!! Bora wa Kiume.
KwaninNapenda wa kike
VizurMtoto yeyote tu mwenye afya njema basi .
Mungu akujalie kuzaz chemaMm mtoto yeyote ataekuja nitampenda ila lazma nipangilie jinsia mungu akipendaaaa
vizur sana mkuuMtoto ni NEEMA NA BARAKA KUBWA KUTOKA KWA MUNGU, HAUTAKIWI KUCHAGUA MTOTO YUPI ,BALI POKEA MTOTO KAMA ZAWADI, WASIO NA WATOTO UKIWAELEZA HAYA UNAWEZA KUWATOA MACHOZI.
PIA FIKIRIA , KAMA UNAMPENDA MTOTO WA JiNSIA MOJA HALAFU USIPENDE JINSIA NYINGINE TAMBUA NI KOSA, WEWE NI MFANO MWEMA, KATI YA BABA NA MAMA YAKO (YANGU) NANI NI MUHIMU KWAKO!? JE, LEO UNGEKUWA WAPI KAMA KATI YAO MMOJA ASINGEKUWEPO?
UKIENDELEA KUFIKIA HILI KTK AKILI YAKO MWISHO ITAKUWA NI LAANA!MTOTO NI MTOTO NA NI ZAWADI ,POKEA TO!!
Aminmtoto ni mtoto, cha kuomba Mungu akupe mtoto mwema
Daaaaaaaah vizur sana mkuuUsimtishe mwenzio hata Mungu anashauri tuwe na specific choice. Hajasema kwamba hataki kabisa wa kike na wala hajamtukana Mungu ila amesema upendeleo wake, kusema anaetaka hakumfanyi ndo ampate ila amesema anachopenda endapo Mungu ataskia kilio chake. Hujawahi kuona wanandoa wanapanga wapate mtoto gani wanaamua kutumia njia zinazoweza kufanikisha kumpata huyo mtoto?
Nyie ndo msiojiamini mnashindwa kusema upendeleo wenu, hakuna mtoto yeyote Duniani, kuna mtoto wa kike na wa kiume tu, Na unachokiamini ndo kinakuwa, hivyo kila mtu na imani yake. Usiishi kwa woga, Mungu hana roho kama ya binadamu, ni Mungu mwenye Rehema
Woooooh hongera sana nduguSema ukweli, Lazima kutakuwa na jinsia ambayo moyo unapendelea zaidi japo unasisitiza yoyote kwa kuogopa kusema kwa watu kwa kumuogopa Mungu wakati anaujua moyo wako . Kama sivyo basi utakuwa dhaifu maana binadamu katika vitu viwili hupendelea kimoja zaidi japo vyote anavihitaji
Ndio lkn nashangaa wanaogopa kusemaumesema sahihi kabisa, hichi ndo kitu ambacho hawakielewi sababu ya uoga, wanasema wanamwogopa Mungu asiwanyime kabisa wanafikiri Mungu ni wa aina hiyo. Hata Mungu anasisitiza demokrasia anampa mtu nafasi ya kuchagua japo muda wote hutimiza mapenzi yake haijalish umechagua nini
Mungu atakujaliakiukweli mm nnapenda sn mtoto wa kike, na jina nimuite kate, brenda au Suzan
Kosa si lako tatizo ubongo wako finyu na dhaifu, karibu mchaw mwenzangu kwa sababu mchaw anamjua mchaw mwenzakeOte niwatoto acheni umurulaazi wachawi nyiye
Daaaaaaah hongera mnoNapenda wakike nashukuru Mungu kanipa wote first born wangu ni wa kike second wa kiume nawapenda wote.
Woooohwangu awo aisee wakike na kiume niliwapata bila kutegemea ila nashukuru aisee wametuletea furaha
Nicemapacha jinsia yeyote
Hongera na mungu atakusaidiaMke wangu ni mjamzito naomba ajifungue dume maana nina jike tayar
Mke wangu ni mjamzito naomba ajifungue dume maana nina jike tayar
Nasikia ni dhambi lakinUnaweza kujua tu kama ni wa kike au wa kiume kuliko kukaa kuomba si tiari ni mjamzito! Kujua mapema ni vizuri ila ujue unafanya maandalizi ya mtoto gani
Ubaguzi wa kijinsiaUkweli usemwe na kila mtu upenzi wake katika suala la watoto japo mungu anakupa mtoto anaemtaka yeye na ni majaliwa pia. Wewe unampenda mtoto wa jinsia gani na kwanini ??
OhooooooooUbaguzi wa kijinsia