Recent content by Binti Haki

  1. B

    JamiiForums Tanzania A light touch: Dakika kumi!

    mkjj, again you stand out from the crowd! thanks for this man.. Unajua, hii kweli inaumiza vichwa sana, tena sana sana. Ila ninaamini in 'my heart of hearts' kuwa kila jambo lina mwisho. Tunaokereka na kuathirika ki-kweli na haya tunaweza kubaki wachache, lakini it won't be in vain! Tuendelee...
  2. B

    JamiiForums Tanzania Katika pitapita zake kakakutana na hiki...

    this is very serious? how can this be? what did the auditors recommend? has action been taken?
  3. B

    JamiiForums Tanzania Yona na Mramba: Mashtaka na yatokanayo

    Mramba ndani ya kandambili!?Mungu Mkubwa!
  4. B

    JamiiForums Tanzania Mwema, Manumba, Othmani, Mganga +1 wawajibishwe!

    Kelele muhimu ziendelee.. na katika mkondo husika, yule 'starring' katika kumwaga unga-unga awajibishwe kisawasawa pia!
  5. B

    JamiiForums Tanzania Ama kweli sikio la kufa halisikii dawa..BoT yaendelea kukombwa

    Yana mwisho yote haya.. na mwisho huu umekaribia sasa!
  6. B

    JamiiForums Tanzania James Sinclair: A Friend or Foe?

    Hivi sinclair anadhani anamchezea nani? hayo maelezo meengi kuwa amefanyia mengi Tanzania ni crap.. labda ajibu what was his motivation for investment? and what did he get in return? And in his case, kwa kukaa miaka yote hiyo inamaanisha amekula mno sasa anakufuru! enough now mister!
  7. B

    JamiiForums Tanzania Watanzania wamjia juu swahiba wa Kikwete

    safi saaaaaaaaaaaaana! jf hoyeeeee! hakuna kulala. indeed together we can change our destiny!
  8. B

    JamiiForums Tanzania Chopa ya JWTZ yaanguka na Kuua..

    Ooh, Sad news. May God give them all eternal peace. Pole kwa familia zote.
  9. B

    JamiiForums Tanzania Daudi Ballali's Death

    Mzee Mwanakijj, heshima yako baba! ulitabiri hili few days ago.. how? how!! Yaani nakuaminia.
  10. B

    JamiiForums Tanzania Mkapa above the law?: Allegations

    you are not serious, are you?
  11. B

    JamiiForums Tanzania Rostam Aziz of New Habari Corporation: The facts

    what an 'evidence less' report!
  12. B

    JamiiForums Tanzania Prof.Benno Ndullu kafanya maajabu BOT!!

    SHAME ON YOU MKULLO! MUOGOPE MUNGU, AT LEAST DO YOUR HOMEWORK. Usiendelee kututia aibu wananzania. Ni kwa vile kuna utaratibu tofauti wa kuwajibisha viongozi, hasa wakiongea pumba- otherwise ujinga kama huu unadhihirisha ulivyo kiazi na hivyo unatakiwa uachie ngazi mara moja!
  13. B

    JamiiForums Tanzania Rostam Aziz of New Habari Corporation: The facts

    Guys, nimewasoma na inaelekea wote tunakubaliana kuwa lazima tuendelee kuwaibua na kuwabana kiuhakika hawa mafisadi. Sasa, leteni 'action points' basi- tumfanze nini huyu Rostam? Ninaimani action(s) ndo zitaendelea kututoa watanzania hapa tulipo from kuwa walalamikaji kuelekea kuwa watu...
  14. B

    JamiiForums Tanzania The Radar Scandal: Investigation & Progress

    Kwa kweli huhu Chenge ni kituko. Ni aibu sana kwa mtu mzima kama yeye ku behave hivi. What happens to human beings like these ambao wanakosa aibu kabisa katika jamii?Hawana nafsi zinazosuta watu wa kawaida. Shame on you Chenge. Go please.. go.
  15. B

    JamiiForums Tanzania Ripoti ya Richmond Bungeni (FULL TEXT) na yatokanayo

    God forbid this Mwafrika wa Kike! Kamati kuchunguza kamati- no way. Naelewa kwa nini wafikiri hivyo, and deep in my heart i have a similar fear too. Ila kwa hatua aliyochukua Mheshimiwa Mwakyembe na kamati yake ya kuwa wazi kiasi hiki, ninaimani kubwa kuwa zile zama za kamati kuchunguza...
Back
Top Bottom