Recent content by BINAGI BLOG-BMG

  1. BINAGI BLOG-BMG

    Simba mpya mbele ya Yanga Bora

    Ni kweli Simba SC wamejitahidi kubadili kikosi, na angalau wachezaji wameonesha utofauti kulinganisha na kikosi kilichopita. Lakini ukweli mchungu ni kwamba, hiki kikosi cha Simba SC hakiwezi kuifunga Yanga SC ambayo ni bora kwa sasa barani Afrika. Tazama hata magoli yaliyokataliwa, ni magoli...
  2. BINAGI BLOG-BMG

    Mahojiano yangu na washirika wa FDLR kuhusu uhasama wao na RPF- Inkotanyi

    Nani ana mwendelezo baada ya Novemba 30?
  3. BINAGI BLOG-BMG

    Je, hili la TANESCO siyo "utapeli"?

    Hapa unayohaki ya kufungua kesi mahakamani, huu ni zadi ya utapeli na ulaghai.
  4. BINAGI BLOG-BMG

    Habari njema kwa wote

    Mwimbaji chipukizi wa muziki wa injili nchini, Jimmy Gospian, amechaguliwa kuwania tuzo za ZABURI AWARDS 2016/17. "Ndugu mtanzania, naomba unipigie kura kwenye tuzo za injili za ZABURI AWARDS 2016/17 kipengere cha MWIMBAJI BORA WA KIUME ANAYECHIPUKIA. Ili kunipigia kura, andika ujumbe wa maneno...
  5. BINAGI BLOG-BMG

    Ezekiel Wenje achaguliwa kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Ziwa

    Aliyekuwa mbunge wa jimbo la Nyamagana mkoani Mwanza, Ezekiel Dibogo Wenje (Chadema 2010/15) amechaguliwa kwenye mkutano mkuu wa Kanda ya Ziwa Victoria, kuwa Mwenyekiti wa Chadema Kanda hiyo. Wenje amemshinda Mstahiki Meya wa Manispaa ya Bukoba mkoani Kagera, Chief Kalumuna ambapo Uchaguzi huo...
  6. BINAGI BLOG-BMG

    Mbeya: Mtoto aliyezikwa jana akutwa chumbani kwake mara baada ya mazishi

    Hivi Polisi wa Tz hawana njia nyingine ya kutatua jambo zaidi ya mabomu ya machozi?
  7. BINAGI BLOG-BMG

    OMBI LA BODI YA FILAMU TANZANIA.

    Kwa nini ni upuuzi? Toa maoni ili wajirekebishe
  8. BINAGI BLOG-BMG

    Bongo Movie

    Movie gani hiyo
  9. BINAGI BLOG-BMG

    OMBI LA BODI YA FILAMU TANZANIA.

    Na George Binagi Bodi ya Filamu nchini imewahamasisha watanzania kuongera ari ya kuzipigia kura filamu za kitanzania zinazowania tuzo za Africa Magic Viewers Awards (AMVA 2017) za nchini Nigeria. Katibu Mtendaji wa bodi hiyo, Bi Joyce Fissoo ametoa hamasa hiyo hii leo, wakati akihojiwa kwenye...
Back
Top Bottom