Dogo kuzaliwa ukiwa maskini ni kawaida na liko nje ya uwezo wako lakini kufa ukiwa maskini ni juu yako ...think twice and never say never keep trying u will get it. belive youself go and get job>>>:cool2:
Malalamiko yako kila mahali hata makazini, michezoni sembuse ndoa na malalamiko ni muhimu ili mambo yafanyike kwa ufanisi zaidi kuliko zamani amasivyo kungekuwa hakuna maendeleo yoyote lakini vilevile huu ni ushauri tu kwako na si lazima kuufata the decision is yours...
Acha habari yako wewe,..kuoa ni jambo la kheri na baraka kwa Mwenyezi Mungu sasa wewe unataka kuzini hadi lini,..???Huo ni mfano mmoja mbaya katika milioni moja mizuri..
Aisee mada imenigusa kwa historia lakini mtoa mada kaichafua pale anapoita mabaamaid public toilet au anapoandika kwamba hawakatai wakitongozwa inamaana hawana mamlaka na bongo zao,hawajitambui for sure that is sex harassment charge and very bad offence but all in all wengi wao wanafanya kazi...
Mi hapa cpat kigugumizi kabisa ninamchukia gafla na hata kazi zake sinunui but kama ni jamaa wangu wa karibu nitamwambia hiyo tabia sio nzuri na ku refer vitabu vya Mungu na inshallah Mwenyezi Mungu atamuona na kumrudi...Ni sawa na tajiri ambaye ulikuwa una mu admire uwe kama yeye but suddenly u...
Napata shida sana kuona baamaid anabakwa, anapigwa na pengine hata kuuwawa akitetea haki zake,.. na mara nyingi watu hawa huwa ni wakarimu wakati wa kutoa huduma na wanajitolea kufanya kazi hadi usiku mnene lakini malipo yake ni kilio kwao mshahara kiduchu but nashauri mabaamaid wasikate tamaa...
Simply my observation ingawa ujaweka source ya huo utafiti kuna kaji harufu ka ukweli kutokana na sababu zako tajwa hapo juu hasahasa kale kapoint ka mama kuwa bize na mtoto na kusahau mumewe na hili nimeli observe kwa a lots of ma friends they are complains not being care by their wife once...
Aisee huyo mwanaume mwenzetu ametudhalilisha..kimantiki ukifanya hivyo kwa mkewe manake ndoa tena hakuna,.ni talaka tosha na inaonesha ampendi uwezi kuumgeuza mke wako kama unampenda kwa dhati....au mumewe ana matatizo ya akili i don't know what to say but nazani mwanamke akaripoti kwenye vituo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.