Mkeshahoi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2009
- 2,469
- 281
nilishaambiwa one tym..... akishapatikana mtoto basi mie niafilie mbalii kwani mtoto ndo atakuwa ndo kila kitu...Judith, look, ukweli ni mbaya sana, si kwamba baba atachukia mkojo au shobo la mtoto, it comes automatically na kupunguza hisia/sexual feelings, na hutagundua dada yangu ni ngumu kuongelea but sometimes utasikia mumeo/BF wako akisema mchukue mtoto bana
kajisaidi/kakojoa sometimes kitandani, time goes, usiku, mchana unapita SEX FEELINGS zinapungua LOVE remain as usual, mm sijaoa, ila issue ipo wazi Judi